Mbona nchi yenu ipo nyuma?mkuu tapeli ni wewe pekeyako, sisi watanzania ni wachapa kazi hodari sana
Songoka halijui hilo anadhani ubaguzi ni wa rangi tu.Ni kweli hapa IPP ya Mengi bila kuwa mchagga hupati cheo cha maana wala maslahi mazuri
Unataka wamuoe Dada yako au mama yako mdogo?nipo hapa Mimi bachelaHao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
That is not a point..Na wewe siku ukifungua kampuni yako ajiri watu weusi tupuuuuuu, ili kumpiku.
Katika orodha ya vyeti feki umemkuta muasia yeyote ?kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Bahati mbaya na ww ni libongoJuzi tu hapa tulikuwa tunamtetea TAPELI Yusufu Manji mpaka povu linatutoka, tena yeye Kaimport kabisa ma EXECUTIVES toka INDIA ambao hawana hata WORKING PERMITS lakini tumemporomoshea MATUSI Mazito AFISA UHAMIAJI Kwa kuwakamata leo mnakomaa na Mo. Mibongo/Mijitu myeusi haijielewi na hata watu weupe wote wanalijua hilo maana hayajui hata yanataka nini !
Kila aliyeko humu kwa JF ni mbongo ?Bahati mbaya na ww ni libongo
kaka usimpangie cha kufanya, madhali si mtumishi wa serikali usimpangie mwenzio cha kufanya.kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Chawa wanawasha jamaniHao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Siku zote ukiwa mbaguzi utatizama kila jambo kibaguzibaguzi tu!. Na usipoona viashiria vya ubaguzi kwa kuwa wewe mwenyewe ni mbaguzi, basi vile vimelea vya ubaguzi vinaweza kukusukuma Katika kujibagua.kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Labda ilifanyikia Indiakuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Watu wamekalia ohh tz tajiri...tajir mav ya kuku..watu tumekalia mali,madini hatuchimbi,ardhi hatuilimi,mito ,maziwa bahar hatutumii,mbuga zimelala af mnakuja kumwombea njaa Mo...mfano mi nimehangaika na eneo moja lenye industrial minerals,lesen tuu ya uchimbaji,hizo changamoto nilizopata,.nmejuta,namii ni mtanzania halisia kabsaa,.yan watu wakiona unawekeza yan wanataka matatzo yao yoote utatue wew.hiz ardhi za vijij jaman umiliki wake urud serikal kuu tuu.Ubaya anao utendea nchi yetu, 40 yake iko mlangoni! Na wewe kibaraka kuwa mzalendo, duh! Unatia aibu!
Teh teh tehPicha hiyo hapo