Brother Mo Dewji, seriously??

Brother Mo Dewji, seriously??

kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Kuna ubaya Gani mbona weusi mnakuwa na Sherehe zenu na Wahindi hawalalamiki? Mtu mweusi kila Siku kulazimisha usipotakiwa.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Unapofungua macho sanaaaa ukategemea utaona vizuri muhali ukajikuta unaona kweli kama dhamira ilivyo lakini ni katika nafasi hiyo hiyo wadudu watatumia kujipenyeza katika mboni zako, aidha upepo nao utaingia kwa wingi kwakuwa uwezo wa kope kupunguza au kuzuia wingi wa upepo hautakuwapo tena.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mengi alivyofariki sijaona hata picha wala caption yoyote kwenye account zake za S/media hawa jamaa siwapendi kama nini
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa ninwabaguzi sana hata usikie wamezaliwa singida sijui kigoma Ila uhindi wao wanauthamini kuliko chochote ndio maana huwa hatuna intermarriage nao.
 
Hawa majamaa wanatuona sisi ngozi nyeusi ni matakataka tu hata tusome vipi.

Kiufupi jamaa hiyo picha kibiashara imeharibu jina lake si kwa Afrika tu bali ulimwengu mzima.
 
Back
Top Bottom