Brother Mo Dewji, seriously??

Brother Mo Dewji, seriously??

Mtanzania ambae hawezi hata kuona risk ya kutokurepair gari ana akili gani hadi aalikwe kwenye party??wanashindwa kurepair hata gari na wanaendesha gari kama ng'ombe hadi linaua watoto wadogo wazuri malaika za Mungu!!
 
Its a family business and MO has the prerogative to hire based on among other things, ethnic/race as long as he doesn't break any laws. If you feel offended by his hiring practices then don't buy his junk.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY

Acheni haya mambo bana; kwani utanzania ni rangi? na hiyo picha ni moja tu na sijui ni wapi imesemwa hao ni "top executives" wake.
 
Hakuna watu wabaguzi kama Mabohora( dewji nae) Hawa wanawabagua hata wahindi wenzao na kwao ni najisi kuoa au kuolewa na mtu nje ya bohora
Dewji atakuwa baniani huyo. Mabohora hawafananii hivyo
 
Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Acha wivu wewe hao wanatamaduni zao afu ubaguz hata sisi weusi ni wabaguz sana tu kuna ubaguz had wa ki kabila . Fanya kaz acha kelele
 
Labda ni family members wake, na bado hawajabahatika kuzaa weusi.
 
Mtoa mada amesema ilikuwa ni birthday. Birthdays tunaalika marafiki wa karibu na yy labda hana hao marafiki weusi. Na pia tunawafahamu hawa watu weupe walivyo! Why tulazimishe ukaribu nao! Ndivyo walivyo hawataki mazoea na watu weusi kwa sababu wanazozijua wao. So its not a big deal..
It is a big deal kwa sababu wako KWETU kama kwao au kwingine haina wasi lakini kwetu halafu wenyeji hatupo inakuwaje...?
 
MO anajiona mighty, but he shall fall too! Mama Tanzania amewachoka matapeli kama hawa!
MO kimwili yupo Tanzania Kiroho yupo India kibiashara yupo Mozambique ni ngumu kudondoka alishasoma alama za nyakati muda mrefu tofauti na Manji.
 
Aaaaaah non sense na wewe..

Anzisha kampuni mkate keki na weusi wenzako acha kulia lia
 
It is a big deal kwa sababu wako KWETU kama kwao au kwingine haina wasi lakini kwetu halafu wenyeji hatupo inakuwaje...?
Unalazimisha urafiki yeye hataki kwanini mlazimishe?
 
Kama ni top six na kampuni ni ya familia sishangai kuona wote ni wa ASIA.cause kama ni kaka,mjomba na binamu laazma wote wafanane na more.nikitu chakawaida haishangazi.charity begin at home
 
Kama issue ya kununua hisa tu mnahisi ni ya wazungu, sembuse kuwa kwenye round table na MO ENTERPRISES! no wonder Hao wote ni share holders!
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Una matrafiki a kihindi wangapi
 
Yeyote aweza kuwa mbaguzi ama wa kabila au wa rangi na hata elimu na mali. Kuna ubaguzi wa taifa na maeneo pia . Ila kijumla mara nyingi weupe huwabaguwa weusi kwa kudhani tu labda weupe una ubora dhidi ya weusi. Kwa makabila wabaguzi namba moja duniani ni wayahudi, pili wahindi, tatu wazungu (kwa baadhi ya mataifa) na mwisho ni waarabu. Waarabu wamekuwa nafuu kidogo kwa sababu ya evolution kwamba yasadikiwa asili zao za kale zilitokea Afrika, lakini pia kwenye dini ya kiislam ambayo waarabu wengi huifuata ni Haramu kufanya hata ishara ya ubaguzi na dhambi iliyo kubwa sana.
We huwajui Waarabu, au hujaishi kwao au unazungumzia kwa ajili ya upendeleo wa Dini au utamaduni..
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Kuna kitu kinaitwa private party iwe sherehe Ya harusi, kipaimara, maulid, Birthday etc sio kila sherehe unatakiwa ualike kila mtu au kila mnyama awe paka au ngedere anaishi eneo lako au la kazini kwako. Leave dewji alone please. Hiyo ni private party ya yeye na nduguze
 
Unajua we una argue kwenye ufinyu sana hatuzungumzii urafiki hapa au hujasoma uzi unasemaje...?
Haya basi. Nabaki na mtazamo wangu. Baki na wako. Kwenye biashara zake kawashirikisha..birthdays mwachieni aamue mwenyewe. Ni mtazamo wangu tu.
 
Back
Top Bottom