Brother Mo Dewji, seriously??

kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Inferiority Spirit
 
Tupia kapicha mkuu tuone mo anavobagua watanzania wenye ngozi nyeusi, ilhali anajitanabahisha kua nae ni mtz
 
Sisi weusi tukisoma ukapata degree moja tu hatutaki kuajiriwa na wahindi tunaona ni kujidhalilisha, tunaoajiriwa na wahindi ni wafanyakazi wa ndani na madereva sasa kosa lake lipi kukosa mweusi kwenye Top management yake?
 
Achia ubaguzi. Mo anajua watanzania golo ni matapeli na wezi hivyo hata ningekua mimi nisingeajiri. Mbona hamuulizi Anthony Diallo aliyewajaza wazungu Sahara???? Hakuna mtanzania ambaye ni kamili ataajili watanzania kushika nafasi za juu ukiona hivyo ujue na yeye ni longo longo.
mkuu tapeli ni wewe pekeyako, sisi watanzania ni wachapa kazi hodari sana
 
Watanzania hatuaminiki wengi sana ni wezi, waaminifu wachache , njoo hapa KAMAKA tabata (kampuni inayouza vifaa vya ujenzi) kuanzia mapokezi na vitengo vyote vya fedha wapo WARUSI na wanakijua kiswahili vizuri huwateti hata kidogo.
 
Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Juzi tu hapa tulikuwa tunamtetea TAPELI Yusufu Manji mpaka povu linatutoka, tena yeye Kaimport kabisa ma EXECUTIVES toka INDIA ambao hawana hata WORKING PERMITS lakini tumemporomoshea MATUSI Mazito AFISA UHAMIAJI Kwa kuwakamata leo mnakomaa na Mo. Mibongo/Mijitu myeusi haijielewi na hata watu weupe wote wanalijua hilo maana hayajui hata yanataka nini !
 
Sisi Wizi ndo tabia yetu ndiyo maana Rais anakomaa kusafisha.
Tatizo la wabongo wanachojua ni miporojo, kuporomosha matusi mitandaoni, kuzusha tu, kujifanya wanajua kila kitu, kutukana kila mtu mpaka rais. Juzi tu baada ya kusubiria ajira kwa muda mrefu niliamua kwenda kutafuta kazi kwenye kampuni ya ulinzi cha kushangaza nilikuta vyeo vyote pale vizuri vya ofisini wameajiriwa WAHINDI na WAKENYA, Wabongo kazi zao ni magetini tena kwa masimango matupu. Lakini mambo kama hayo hauwezi kuona yanajadiliwa tena ukiwagusa UTATUKANWA BALAA na BAVICHA
 
Kweli hakuna mtanzania mwenye vigezo?

Inawezekana kweli Wahindi wanajibagua sana, tukiacha wale wahindi wa Zamani wazalendo waliokuwa Polisi, jeshini nk. Hibi kweli kwa miaka hii umeshawahi kumuona Muhindi Mwanajeshi, Police, uhamiaji, Fire, Magereza nk. Au kwenye ofisi yoyote ya Seriakli au Wizara yoyote?
Wao wanataka BUNGENI, MASHIRIKA YA UMMA, MALECTURER VYUONI na MAHOSPITALI MAKUBWA huko ndio wanajiita RAIA ukitaka huko kwingine sijui NURSE, MWALIMU SHULE YA KATA, POLISI, TRAFFIC Wanakuambia wao sio raia....
 
Mtu mweusi ni kama cobra,si wa kufanya naye mazoea maana ndiye kiumbe anayeongoza kwa ubaguzi duniani!Leo hii si ajabu kuona mbunge mweusi Sweden lakini kuona mbunge mzungu hapa kwetu ni vigumu sana.Maneno atakayokutana nayo ya ubaguzi ni mazito mno!Kwenye BSS tu mlimnyima ubingwa mzungu kichaa japo watu walimpigia kura,halafu wewe unasema nini?
Kama kuna Mzungu anazo sifa na anataka kuwa mbunge Tanzania labda mwenyewe asitake tu, mbona wabunge WAHINDI wengi sana na tena huko ndo wanakokutaka
 
Hiv kwanin tunapenda kujipendekeza namna hii?yaan hatuamin kujiwezesha ila kuwezeshwa tuu kila siku.yeye kaweka watu anaopenda yeye,biashara za familia zile,hao nduguze tuu wanataka kaz aje akuchkue wew kivip..sio shirika la uma lile..thrive kwa vyako.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Mo mwenyewe ni Mtanzania. Kama ni rangi yapo makampuni na mashirika mengi yenye wafanyakazi weusi tu bila kuwapo mwenye mhindi,mwarabu wenye asili ya Tanzania. Iweje kwenye kampuni binafsi tena ukute ni ya ukoo. Pengine nafasi hizo hazina mshahara.
 
Achia ubaguzi. Mo anajua watanzania golo ni matapeli na wezi hivyo hata ningekua mimi nisingeajiri. Mbona hamuulizi Anthony Diallo aliyewajaza wazungu Sahara???? Hakuna mtanzania ambaye ni kamili ataajili watanzania kushika nafasi za juu ukiona hivyo ujue na yeye ni longo longo.
Ni kweli hapa IPP ya Mengi bila kuwa mchagga hupati cheo cha maana wala maslahi mazuri
 
Yeyote aweza kuwa mbaguzi ama wa kabila au wa rangi na hata elimu na mali. Kuna ubaguzi wa taifa na maeneo pia . Ila kijumla mara nyingi weupe huwabaguwa weusi kwa kudhani tu labda weupe una ubora dhidi ya weusi. Kwa makabila wabaguzi namba moja duniani ni wayahudi, pili wahindi, tatu wazungu (kwa baadhi ya mataifa) na mwisho ni waarabu. Waarabu wamekuwa nafuu kidogo kwa sababu ya evolution kwamba yasadikiwa asili zao za kale zilitokea Afrika, lakini pia kwenye dini ya kiislam ambayo waarabu wengi huifuata ni Haramu kufanya hata ishara ya ubaguzi na dhambi iliyo kubwa sana.
Utakuwa mwarabu koko wewe
 
Back
Top Bottom