Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Nakupa muda uage familia yako kwanza.
Dole gumba?? na likinasia umo!?? Siku hizi tunatembea na matango/soseji...unatest!Yaani kutest kwanza inapidi uchomeke dole gumba....ukiona linasitasita kuingia ujue kuna walakini
Umeona eeh!ww sema una ham ya kugidwa usisingizie tego.
mie ungesema una ham ningeweza kujitolea, Ila assume nimenasa si ndo nitaonekana ndo mchezo wangu wakati mie mtu safii
Nikiwa na hamu ananimalizia huyo Bf wangu. Nachohitaji ni test tu, tena kuchovya na kutoa mara moja. Sihitaji utamu wako wala sitaki wewe upate utamu wangu, na pia kama wewe ni tego-proof sikuhitaji maana sitapata matokeo ya uhakika kutoka kwenye test yangu.ww sema una ham ya kugidwa usisingizie tego.
mie ungesema una ham ningeweza kujitolea, Ila assume nimenasa si ndo nitaonekana ndo mchezo wangu wakati mie mtu safii
Nimesikia ni ushanga ambao mwanaume anaufunga kiunoni.......!
Una bahati nimeshawowa, ningekuwa wa kwanza kuunga foleni maana najua watakuja wengi wakitaka kutest........... LOL
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).
Niaje Mentor? Mzuka? Umeadimika
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).
Bro Nicas Mtei, am gud kaka..purukushani za ktafuta pesa kaka..mi nataka mke not housegirl kama wewe...nid to settle down b4 2016!!!