Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Pia nampongeza jamaa kwa kubana matumiz hakuna sababu ya kupanga hata kama ana kazi nzuri kama nyumban nafasi ipo. Yaan apange kwa ajili yako tu? Kwan kodi utamlipia na utakuwa unampikia? ,wacha kijana wa watu abane matumizi ili afanye maendeleo sio apange ili muendekeze ngono
 
Natarajia kurudi Nyumbani Bongo mapema mwakani kwa mapumziko ya Kama mwezi. Kama kuna mwanamke mtulivu nicheki inbox ili nikija Bongo unipe kampani.. Kwa watu wazima tu.. Age 21-40.
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Kwa kidhungu nasikia wanaitwaga hotpot family hao
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
hujui kero za nyumba za kupanga unaenda kutukanwa kupigishwa deki choon ufagie mav ya watu na mikojo ufagie uwanja na kero zingine kama mikwara ya mwenye nyima daah alafu hukai bure hela yako wakat wewe bint unakaa kwwnu week end ndio unaenda kwenye chumba ukifika movie kwenda mbele kuoga unaondoka bas unaona rahaaaa acha ajinafas kwao bwana si kuna nafas
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Sasa na wewe unapelekwa guest kama nani?,kama mke?kama changudoa?kama bibi poa?kama unauza mbunye? au mke?,acha hizooo bhana,mwambie akuoe ili akutie humo humo ndani kwa mama yake,tena mama anaweza kuwaachia hata kitanda chake mtiane kwa raha zenu,sababu ni mme na mke sio mahawara au vipi?,sasa wewe endelea kupelekwa guest kupakuliwa utoko,iko siku utasikia mwenzio anaoa na hata card ya mwaliko hupati,utakumbuka maneno yangu,mwanamke mwenye matarajio ya ndoa hapelekwi guest,bora utiwe ndani ya gari au kichakani.
 
si ulisema umeolewa na mumeo anawivu hataki kukuruhusu uende kwenye party? saiv ubakuja kusema una boyfriend anaekaa kwao
Kaachika huyo tumuhurumie,si unajua tamaa za dada zetu hawa au? kafumaniwa guest mme kampa talaka.
 
ila jamani humu nahisi mara nyingi stori ni za kutunga manake unaweza kuta mtu mmoja ana thread hata 5 tofauti, leo bf/gr baada ya wiki atakuja ooh mume/mke, baada ya hapo atakuja na niko mpweke nisaidieni mawazo basi hata havieleweki ndo mana mimi huwa naangalia sana thread ya ku comment zingine najipitiaga tu kama kwa huyo nimekuja ili nisome comment nicheke,na nimecheka hasaa

Zako ni za kweli?
 
Ikikuboa ipotezee
Mkuu,huyo mrembo Lincoln kaandika ukweli kabisa,coz umeandika kama chekechea so usimlaumu,anyway mwambie huyo boy friend akuoe na sio kukupeleka guest kutoa kiu yake na kukuchafua kila mara,utachafuliwa na kufua nguo yako ya chini na michirizi huku mwenzio anamawazo ya kutafuta mke bora.
 
It sounds like he is not that much in to you, he is not ready for any commitment, kama angekuwa ana future na wewe angekushirikisha ujenzi. Kuna mmoja mwanaume alimwambia haoi mpaka apate Masters, yule dada kuona namba haisomeki amejisogeza pembeni, miezi sita baadae anasikia harusi.
Daah wewe Sky huwa unatoa michango mingi sana ya kuwajenga mabinti,ubarikiwe mamii,lakini ni masiku mengi hunijibu post zangu kwa nini?,inawezekana kabisa nilikuudhi tena au vipi?na kama ni hivo basi naomba samahani tena na tena dada yangu Eclat,tafadhali nakupenda sana ujue hivyo au vip?.Unaweza kunitumia mashtaka yako PM vile vile na mimi nitaomba msamaha mamii,hata nikosee mara ngapi mamii,mimi ni binadamu tu mpaka siku nakufa ,angalia leo hii Dena Amsi mrembo mwana jamii mwenzetu katutoka na tuanhuzunika,dunia mapito mamii,hata Karanja anaweza kesho akawa hayupo duniani au vipi?,mimi ni dhaifu tu,na pia mfu mtarajiwa,so unisamehe wewe mamii.
 
Yaan kwao kakupeleka,mgegedo unapata lodge, elimu anayo, kazi anayo pia ila bado tu unakuja kulalama hapa

Hivi nyie wanawake nani kawaroga?

Hivi hujui wenzio wanagegedewa tu maghetoni kitaa na hata kwa wazazi hawajulikani
 
Daah wewe Sky huwa unatoa michango mingi sana ya kuwajenga mabinti,ubarikiwe mamii,lakini ni masiku mengi hunijibu post zangu kwa nini?,inawezekana kabisa nilikuudhi tena au vipi?na kama ni hivo basi naomba samahani tena na tena dada yangu Eclat,tafadhali nakupenda sana ujue hivyo au vip?.Unaweza kunitumia mashtaka yako PM vile vile na mimi nitaomba msamaha mamii,hata nikosee mara ngapi mamii,mimi ni binadamu tu mpaka siku nakufa ,angalia leo hii Dena Amsi mrembo mwana jamii mwenzetu katutoka na tuanhuzunika,dunia mapito mamii,hata Karanja anaweza kesho akawa hayupo duniani au vipi?,mimi ni dhaifu tu,na pia mfu mtarajiwa,so unisamehe wewe mamii.
Heri ya Noeli kaka wa mimi.
 
Heri ya Noeli kaka wa mimi.
Nashukuru kwa kutumia wasaa wako kunijibu mimi kaka wa kwako mamii,lakini hujasema kama umenismehe mamii.Kaa ukumbuke dunia haina maana wala thamani,ila binadamu tuna maana na thamani,ila tu tunapoteza thamani baada ya kuwakosea binadamu wenzetu na pia tunapoteza maana pale ambapo hatujitambui kama tumekosea na kuomba msamaha ili tupate radhi ya wale tuliowakosea,coz bila radhi za wale tuliopishana nao au kuwakosea,basi hapo tunakuwa kwenye hasara ambayo Bwana MUNGU alie mbinguni hawezi kutusamehe mpaka tusameheane sisi kwa sisi,hayo ni maandiko na hayapingiki wewe dada wa mimi Sky Eclat ninaekupenda wewe forever dada yangu mwenye heshima iliotukuka tena wewe ni mpole sana mamii,nakuheshimu mpaka nazikwa dada yangu.
 
Nashukuru kwa kutumia wasaa wako kunijibu mimi kaka wa kwako mamii,lakini hujasema kama umenismehe mamii.Kaa ukumbuke dunia haina maana wala thamani,ila binadamu tuna maana na thamani,ila tu tunapoteza thamani baada ya kuwakosea binadamu wenzetu na pia tunapoteza maana pale ambapo hatujitambui kama tumekosea na kuomba msamaha ili tupate radhi ya wale tuliowakosea,coz bila radhi za wale tuliopishana nao au kuwakosea,basi hapo tunakuwa kwenye hasara ambayo Bwana MUNGU alie mbinguni hawezi kutusamehe mpaka tusameheane sisi kwa sisi,hayo ni maandiko na hayapingiki wewe dada wa mimi Sky Eclat ninaekupenda wewe forever dada yangu mwenye heshima iliotukuka tena wewe ni mpole sana mamii,nakuheshimu mpaka nazikwa dada yangu.
Kaka wa mimi maisha yenyewe mafupi haya, yasahau yale yamepita hakuna anaejua siku yake ya kufa, kwanini basi twende na vinyongo visivyo na maana.
 
Heri ya Noeli kaka wa mimi.
Umesema kweli mrembo,mimi ni kaka wa wewe kabisa,tena lazima nikuheshimu kila siku mara zoote mpaka nazikwa Eclat wewe ni kapoole masikini ya Mungu wala hukasiriki nikikuudhi mimi mjinga sana Eclat unisamehe lakini auuuu?,mimi saaaa hii nmekunywa damu ya Yesu nataka nipae nije kwako saa hii ili unisamehe mimi Eclat please,nije nisij? sema kweli kutoka moyoni coz Yesu anakuona na ukisema uongo Ywsu anakuona Eclat au vipie?
 
Ila kweli kama kweli unauona anakuboa panga nyumba wewe halafu mkaribishe kwako then wewe uwe unamkumbusha tu ndoto yake ya kujenga nyumba imefikia wapi si unampenda hii inaweza ikimsaidia kumnyanyua pale alipokwama mwenzio au kama vipi mpe hela yeye afanyekazi ya kujenga ili uwe umemuokoa mapema kwa kile unachoona cha ajabu yeye na umri huo kukaa nyumbani
 
Kaka wa mimi maisha yenyewe mafupi haya, yasahau yale yamepita hakuna anaejua siku yake ya kufa, kwanini basi twende na vinyongo visivyo na maana.
llakini nmekunwa damu ya yesu mamii,nataka unsameheeee,useme nmekusmhee karanja ou veepii?
 
Back
Top Bottom