Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

mbanie papuchino yako.. au mwambie muwe mnakaa hoteli zenye hadhi ... we binti ni dhambi kuzini ila we umepewa bonus unapelekwa kwa wazazi unalalamika wengine wanakutanguliza gesti halafu yeye anakuja badae na wakati wa kuondoka anakutanguliza yeye anatoka badae... mshukuru Mungu
umenichekesha
 
Hyo bf wako ni boya kabisa... Achana naye utafute mtoto mchakarikaji... Siku wazazi wakitoweka Duniani, utayumba yumba sana na huyo mtoto wa kishua... Pole sana kwa maswahibu unayopitia...
 
ila jamani humu nahisi mara nyingi stori ni za kutunga manake unaweza kuta mtu mmoja ana thread hata 5 tofauti, leo bf/gr baada ya wiki atakuja ooh mume/mke, baada ya hapo atakuja na niko mpweke nisaidieni mawazo basi hata havieleweki ndo mana mimi huwa naangalia sana thread ya ku comment zingine najipitiaga tu kama kwa huyo nimekuja ili nisome comment nicheke,na nimecheka hasaa
 
si ulisema umeolewa na mumeo anawivu hataki kukuruhusu uende kwenye party? saiv ubakuja kusema una boyfriend anaekaa kwao
Hawa wana leta stor za vijiwen huko ***** kabisa[emoji276] [emoji276] [emoji276]
 
Kwetu Napapenda Balaa we ukitaka kuniona twende out na sio lazima To Duu taweza kwenda Moro tukarudi Jioni au twende Mbudya island uje Kwetu Kwani nimekuoa??? This is Africa not Europe
 
mfyuuuuu ndo nini umeandika? unadhani kujenga ni kutaga kama kuku/bata??...jenga yako mkaribishe!
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Nawewe unaboa sana umeandika kama fungu la nyanya vile...
 
Inabidi mode iweke Sheria ili.Mtu aweje uzi inabidi awe JF zaidi ya mwaka mmoja. Maana zimezidi
 
Mambo yanabadilika nakumbuka zamani kule kijijini kaka zangu wote walioa na wakawa wanaishi nyimbani,wanachofanya unajenga nyumba pembeni ya nyumba ya wazazi lakini misosi na kila kitu mnashiriki pamoja
 
Back
Top Bottom