Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Wewe mwenyewe unaboa!Unaandika kama unasimulia watoto!
Hawa ndio aina ya member wanao tuharibia ladha ya jukwaa letu aiseeee....[emoji16] [emoji16]
Ebu serikali na itoage ajira ili wapungue humu aiseeee...
si ulisema umeolewa na mumeo anawivu hataki kukuruhusu uende kwenye party? saiv ubakuja kusema una boyfriend anaekaa kwao
 
Na vipi kuhusu girlfriend anae kaa kwao?
Ebu anza kwanza kujibu hili kabla hatuja endelea na mengine ambayo umeonyesha utovu wa nidhamu kwa kwenda kwao na muvulana wako. Eti unakaa sebleni na mama wa mvulana wako anapita....[emoji16] [emoji16] [emoji16].
Kwanza wewe na huyo mvulana wako ni wapuuzi na hamna adabu kabisa kwa kuwaonyesha wazazi kwamba mna lalana kabla ya ndoa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mungu wanguuu!
 
Na vipi kuhusu girlfriend anae kaa kwao?
Ebu anza kwanza kujibu hili kabla hatuja endelea na mengine ambayo umeonyesha utovu wa nidhamu kwa kwenda kwao na muvulana wako. Eti unakaa sebleni na mama wa mvulana wako anapita....[emoji16] [emoji16] [emoji16].
Kwanza wewe na huyo mvulana wako ni wapuuzi na hamna adabu kabisa kwa kuwaonyesha wazazi kwamba mna lalana kabla ya ndoa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ameni introduce kama rafiki na so mpenzi
 
Kumpeleka mwanamke unakoishi,haijalishi umepanga au uko kwako Ni kitu cha kutafakari Sana Na mwanamke anae ngangania kwenda kwa mwanaume ili hali mwanaume bado hajaridhia Ni majanga

Ni vizuri Kama bado hujaoa Na umepanga kutompeleka girlfriend kwako Paka pale utakapokua Na uhakika Kua kwa namna yeyote ile Ni mke wako.

Hiyo itakuepusha Na mengi Na kuna faida nyingi za kufanya hivyo ,haijalishi mnapendana kiasi gani.

Mwanamke kuja kwako kuna mengi.

NB;hayo Ni mawazo yangu Na binadamu tunatofautiana Sio sheria.
 
Naona umetumia fursa...[emoji39] [emoji39]
Kama kawa mkuu... si unajua fursa adimu hizi Siwezi kuacha ipite...

Namkaribisha nina miaka 31 sijui na mimi ni mtoto. Uzuri mimi sikai gheto nakaa kwenye nyumba unamaliza huduma zote ndani kwa ndani.
 
Back
Top Bottom