Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,954
- 30,300
Pendaeli,Hongera sana mzee wetu
Mrangi,Jina lako kuwa kwenye mtaa jahu tu
Ova
92...Hahaha unajina la mtaa ila mfukoni patupu hii inakua nuksi sana
Mad...Hongera sana. Soon utapewa barabara "Mzee Said Road" au "Mohamed Said Avenue"
Bora tu isiwe wewe maana watakushangaa huna mkwanja jina kubwa la nini92...
Hii kuwa sina kitu mfukoni nimezoea hainipi shida sana.
Swali nauliza sijapata huu mtaa wa Mohamed Said ni Mohamed Said yupi?
Nadhani si mimi.
Smart...Inapendeza...
Num...Nice
92...Bora tu isiwe wewe maana watakushangaa huna mkwanja jina kubwa la nini