Umeketi unaposona hii habari? Kama umesimama kaa chini tukufundishe.
Nenda TAKUKURU, waambie hii ishu. Weka mtego mzuuri tu. Kubaliana naye, popote atakapoamua, tega hilo limtu vuzuri, avue nguo zoote, mchezee mpaka hiyo TAAKUKUU ikiingia imkute akitoka jasho kwa kuvumilia.
Utapata malipo yako, utafidiwa, huyo mkaka atarudishwa kazini na boss mwingine yeyote atakuheshimu tuu.
Kama vipi, mpe tuu kwani anachukua??
Nenda TAKUKURU, waambie hii ishu. Weka mtego mzuuri tu. Kubaliana naye, popote atakapoamua, tega hilo limtu vuzuri, avue nguo zoote, mchezee mpaka hiyo TAAKUKUU ikiingia imkute akitoka jasho kwa kuvumilia.
Utapata malipo yako, utafidiwa, huyo mkaka atarudishwa kazini na boss mwingine yeyote atakuheshimu tuu.
Kama vipi, mpe tuu kwani anachukua??