sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa kuna kaka moja ni kma assistant manager amekuwa karibu yangu na tuko ofisi moja. baada ya kipindi kirefu tumekuwa marafiki wa karibu cha kushangaza niliamishwa ofisi hiyo na boss bila sababu ya msingi... ilinishangaza ila ckupeleleza zaidi cku moja aliniita boss na kuniuliza nina mahusiano gani na yule kaka nilimwambia ni rafki wa kawaida....cku zliendelea kawaida siku nyingine tulikuwa lunch break na nilienda na yule kaka mahali tukala mda c mrefu boss anae aliingia alika counter na alikuwa anatuangalia vibaya sana,hatukuchukua muda tukaondoka..boss bdae alimfata yule kaka na kumpa onyo asimuone tena karibu yangu.....ilinisikitisha sana baada ya wiki moja yule boss aliniambia ananipenda na anatakuwa kuwa mpenzi wangu nilimkata kwani..ni mtu na anafamilia yake...the next day he was mad alikuja ofisini very mad na alimfukuza yule kaka kazi bila sababu.... kinaniuma sanaaa sanaaa kwani yule kaka anajuta kunifahamu na alikuwa anategemea sana kazi yake...cjuchakufanya jamanii...najiskia vibaya sanaa.....i am stressed
Maandiko yako hayalingani na kujisifu kwako, mtu makini hawezi kuandika kama ulivyoandika.
Ndo wewe unamsumbua nini?Aitunze ili ziongezeke ziwe mbili?
You sound like Jiniazzzzzzzzzzzzzzzz Mkuu.Kazi mbona ndogo tu hii. Unatumia 'Smart Phone'? Muwekee mtego akiri kwamba alimfukuza kazi yule kijana bila sababu ya maana(kiutendaji) na pia anakutaka kimapenzi. Picha, video au chochote kile. Then njoo humu barazani tutafute wanasheria, atakulipa fidia ndefu sana.
Napenda sana episodes kama hizi!
Mmmmmmmmmmmmmmh! POLE SANA!
Ila mabinti na nyie MKOMEEEEEEEE!!!!!!!!! Ukiajiriwa hata chooni hupajui ushaunda ukaribu na bosi! !
Mama @ Lara 1 umekua mkali mno juu ya hili
mimi nashauri amtege bosi huyo kijana arejeshewe kazi yake, ili wote wajipange upya kutafuta namna nyingine ya maisha, kuachishwa mtu kazi ghafla ni tatizo kubwa
Sijawahi sikia samaki anafunzwa kuogelea. Yaani bosi tu unashindwa mkatalia? Je kama ni rais wa mtaa?
inabidi umpe huyo kaka kusud asiumie roho kwa kuwajibishwa bila kosa then ndo umpe na boss usije kosa ugali bure
Kwamba mi siko JF au?Kwa taarifa yenu huo ushauri mnaompa nimeupata pia,isitoshe anajishaua tu mbona ameishanipa tu,sio mara moja ,mbili wala tatu?
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa kuna kaka moja ni kma assistant manager amekuwa karibu yangu na tuko ofisi moja. baada ya kipindi kirefu tumekuwa marafiki wa karibu cha kushangaza niliamishwa ofisi hiyo na boss bila sababu ya msingi... ilinishangaza ila ckupeleleza zaidi cku moja aliniita boss na kuniuliza nina mahusiano gani na yule kaka nilimwambia ni rafki wa kawaida....cku zliendelea kawaida siku nyingine tulikuwa lunch break na nilienda na yule kaka mahali tukala mda c mrefu boss anae aliingia alika counter na alikuwa anatuangalia vibaya sana,hatukuchukua muda tukaondoka..boss bdae alimfata yule kaka na kumpa onyo asimuone tena karibu yangu.....ilinisikitisha sana baada ya wiki moja yule boss aliniambia ananipenda na anatakuwa kuwa mpenzi wangu nilimkata kwani..ni mtu na anafamilia yake...the next day he was mad alikuja ofisini very mad na alimfukuza yule kaka kazi bila sababu.... kinaniuma sanaaa sanaaa kwani yule kaka anajuta kunifahamu na alikuwa anategemea sana kazi yake...cjuchakufanya jamanii...najiskia vibaya sanaa.....i am stressed
na sisi wanaume je????Tambua kuwa boss kashika mpini its not that much simple. Lakini suala la kumpa mimi silikubali kabisa. Tukiacha masuala ya marital status ya boss mwanamke unapaswa kwanza kumvulia 'moyo' wako mwanaume kabla ya kumvulia nguo. Hata angekuwa single kama moyo haujamkubali je. Ni vema kuanza kutafuta kazi nyingine kuliko kumvulia nguo mtu ambaye hujampenda.
Hahahahaha,jamani