Boss wangu anitaka kimapenzi......

Boss wangu anitaka kimapenzi......

Alafu wewe talent A ndo ulikuja huku juzi na thread kwamba umpendaye ameshindwa kukutoa bikra unaomba ushauri!Mbona mi hata sijaiona?!Kama una post ya uongo weka kwenye jokes huko tukuelewe!
 
Last edited by a moderator:
Nimeshmripoti kwa polisi, nipe jina tumchukulie RB

Mweh! usijaribu utakuja kukosa mkate, vp jamaa lkn unamsaidiaje?
 
khaaaaa... Kweli chini ya kitovu kuna laana! Huyo mpuuzi dawa yake ni mtego tu.. Tengeneza evidence then mlipue
 
we ndio yule bikra??ishatoka au bado???
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa kuna kaka moja ni kma assistant manager amekuwa karibu yangu na tuko ofisi moja. baada ya kipindi kirefu tumekuwa marafiki wa karibu cha kushangaza niliamishwa ofisi hiyo na boss bila sababu ya msingi... ilinishangaza ila ckupeleleza zaidi cku moja aliniita boss na kuniuliza nina mahusiano gani na yule kaka nilimwambia ni rafki wa kawaida....cku zliendelea kawaida siku nyingine tulikuwa lunch break na nilienda na yule kaka mahali tukala mda c mrefu boss anae aliingia alika counter na alikuwa anatuangalia vibaya sana,hatukuchukua muda tukaondoka..boss bdae alimfata yule kaka na kumpa onyo asimuone tena karibu yangu.....ilinisikitisha sana baada ya wiki moja yule boss aliniambia ananipenda na anatakuwa kuwa mpenzi wangu nilimkata kwani..ni mtu na anafamilia yake...the next day he was mad alikuja ofisini very mad na alimfukuza yule kaka kazi bila sababu.... kinaniuma sanaaa sanaaa kwani yule kaka anajuta kunifahamu na alikuwa anategemea sana kazi yake...cjuchakufanya jamanii...najiskia vibaya sanaa.....i am stressed
 
mpe vitu boss wewe unatoa toa macho nini ....utaishia hivo hivo kuziona galaxy 4 kwenye billboards
 
mpe boss agegede!! siyo ufutio huo useme unaogopa utaisha.
 
Aitunze ili ziongezeke ziwe mbili?
Ndo wewe unamsumbua nini?
Take it from me,miaka 30 jera inakusubiri.
maana hiyo kitu inaangukia kwenye makosa ya ubakaji.
kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Kazi mbona ndogo tu hii. Unatumia 'Smart Phone'? Muwekee mtego akiri kwamba alimfukuza kazi yule kijana bila sababu ya maana(kiutendaji) na pia anakutaka kimapenzi. Picha, video au chochote kile. Then njoo humu barazani tutafute wanasheria, atakulipa fidia ndefu sana.

Napenda sana episodes kama hizi!
You sound like Jiniazzzzzzzzzzzzzzzz Mkuu.
 
Mfariji huyo kijana aliyefukuzwa kazi kwa kumpa chezo
 
Mmmmmmmmmmmmmmh! POLE SANA!

Ila mabinti na nyie MKOMEEEEEEEE!!!!!!!!! Ukiajiriwa hata chooni hupajui ushaunda ukaribu na bosi! !

Mama @ Lara 1 umekua mkali mno juu ya hili
mimi nashauri amtege bosi huyo kijana arejeshewe kazi yake, ili wote wajipange upya kutafuta namna nyingine ya maisha, kuachishwa mtu kazi ghafla ni tatizo kubwa
 
we nmekustukia unazingua2 mara useme boyfrend wako kashindwa kukutoa bikra mara boss anakutaka and kwanza tarehe uliyo jiunga ni 18/9/2013 kama ww huzingui bass una account mbili unawapima watu imani
 
Sijawahi sikia samaki anafunzwa kuogelea. Yaani bosi tu unashindwa mkatalia? Je kama ni rais wa mtaa?

Tambua kuwa boss kashika mpini its not that much simple. Lakini suala la kumpa mimi silikubali kabisa. Tukiacha masuala ya marital status ya boss mwanamke unapaswa kwanza kumvulia 'moyo' wako mwanaume kabla ya kumvulia nguo. Hata angekuwa single kama moyo haujamkubali je. Ni vema kuanza kutafuta kazi nyingine kuliko kumvulia nguo mtu ambaye hujampenda.
 
Ule wimbo wa Ferooz, Solo na Juma Nature unaitwaje tena? Mi nakumbuka 'mkate kidevu mharibie huyoo, boss kitambi mkurugenzi manager"
 
Kwamba mi siko JF au?Kwa taarifa yenu huo ushauri mnaompa nimeupata pia,isitoshe anajishaua tu mbona ameishanipa tu,sio mara moja ,mbili wala tatu?

ndo maana nikamwambia, akuletee um....tu kwani unachukua? Si wamwachia hapo hapo tu wala jina huandiki hapo, Pole sana kaka ila endelea na uboss uchwara huo wa kuvua vichupi vya wenyewe. Iko siku utaipata fresh. We jivune kuwa nanihii hao wa wajinga
 
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa kuna kaka moja ni kma assistant manager amekuwa karibu yangu na tuko ofisi moja. baada ya kipindi kirefu tumekuwa marafiki wa karibu cha kushangaza niliamishwa ofisi hiyo na boss bila sababu ya msingi... ilinishangaza ila ckupeleleza zaidi cku moja aliniita boss na kuniuliza nina mahusiano gani na yule kaka nilimwambia ni rafki wa kawaida....cku zliendelea kawaida siku nyingine tulikuwa lunch break na nilienda na yule kaka mahali tukala mda c mrefu boss anae aliingia alika counter na alikuwa anatuangalia vibaya sana,hatukuchukua muda tukaondoka..boss bdae alimfata yule kaka na kumpa onyo asimuone tena karibu yangu.....ilinisikitisha sana baada ya wiki moja yule boss aliniambia ananipenda na anatakuwa kuwa mpenzi wangu nilimkata kwani..ni mtu na anafamilia yake...the next day he was mad alikuja ofisini very mad na alimfukuza yule kaka kazi bila sababu.... kinaniuma sanaaa sanaaa kwani yule kaka anajuta kunifahamu na alikuwa anategemea sana kazi yake...cjuchakufanya jamanii...najiskia vibaya sanaa.....i am stressed

kwanza watu huwa hawaachishwi kazi kienyeji hivi,,,,,and then mpe mzigo jamaa alofukuzwa kazi ili umliwaze
 
Tambua kuwa boss kashika mpini its not that much simple. Lakini suala la kumpa mimi silikubali kabisa. Tukiacha masuala ya marital status ya boss mwanamke unapaswa kwanza kumvulia 'moyo' wako mwanaume kabla ya kumvulia nguo. Hata angekuwa single kama moyo haujamkubali je. Ni vema kuanza kutafuta kazi nyingine kuliko kumvulia nguo mtu ambaye hujampenda.
na sisi wanaume je????
 
Back
Top Bottom