Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.
Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
#MamaYukokazini
Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
#MamaYukokazini