Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,885
- 12,327
Nauliza kama boss ana taarifa, au habari inayohusu kamata kamata ya askari wake?
Kama anayo taarifa, je amechukua hatua gani kuwasaidia, au ukishamlipa mtu akufanyie kazi basi litakalompata huko mbeleni ni juu yake?
Au askari wake wamevuka mipaka ya kile alichowaagiza, kwa kuanza kumshambulia mkuu kwa njia ya matusi, na kupanga mambo maovu dhidi yake badala ya hoja?
Boss Karamagi, Prof Tibaijuka (mama wa vimboga mboga vya milioni 10) na wakwepa kodi wengine wa bandari, tafadhalini jitokezeni kuwasaidia Askari wenu.
Maana walipokuwa wakimtukana mkuu, mlifurahi na kuwapongeza, badala ya kuwaonya mapema kuhusu athari ya matusi yao.
Ukimya wa mkuu ulifanya wasahau kuwa wao wameshika makali, na mkuu ameshika mpini. Acha wagombanie panga tuone nani atakatika vidole.
Wengine wamesahau kuwa kila mchuma janga hula na wa kwao tu. Sasa hivi Karamagi anafuatilia tukio radioni tu na familia yake, masikio baridi kabisa.
Kama anayo taarifa, je amechukua hatua gani kuwasaidia, au ukishamlipa mtu akufanyie kazi basi litakalompata huko mbeleni ni juu yake?
Au askari wake wamevuka mipaka ya kile alichowaagiza, kwa kuanza kumshambulia mkuu kwa njia ya matusi, na kupanga mambo maovu dhidi yake badala ya hoja?
Boss Karamagi, Prof Tibaijuka (mama wa vimboga mboga vya milioni 10) na wakwepa kodi wengine wa bandari, tafadhalini jitokezeni kuwasaidia Askari wenu.
Maana walipokuwa wakimtukana mkuu, mlifurahi na kuwapongeza, badala ya kuwaonya mapema kuhusu athari ya matusi yao.
Ukimya wa mkuu ulifanya wasahau kuwa wao wameshika makali, na mkuu ameshika mpini. Acha wagombanie panga tuone nani atakatika vidole.
Wengine wamesahau kuwa kila mchuma janga hula na wa kwao tu. Sasa hivi Karamagi anafuatilia tukio radioni tu na familia yake, masikio baridi kabisa.