Bora kuwa single!

HANITHI MKUBWA
 
Kuleta uzi tu kutwambia hauna stresa inaonesha jinsi gani haupo sawa
 
Umejikatia tamaa mwenyewe unataka kuamisha watu uko sawa kumbe moyo unauma.Ndo nyie mnakutwa mmejitia kamba
 
BlackBold
 
Poor social development kumbe ndio sababu, unahitaji serious counselling toka kwa psychologist au psychiatrist anayejua kazi yake sio hawa wa kudesa
Najitolea kumfanyia counselling nikiwa na vifaa maalum asante
 
Hiyo hali wewe haikupi shida kuona umechelewa
Sijamaaanisha nina miaka 35, nimemaanisha kwa mwanaume kuoa akiwa na miaka 35 siyo mbaya, ila isizidi 35, kwa wewe mwenye 32, oa hata mwakani.
 
Sijamaaanisha nina miaka 35, nimemaanisha kwa mwanaume kuoa akiwa na miaka 35 siyo mbaya, ila isizidi 35, kwa wewe mwenye 32, oa hata mwakani.
Ikizidi itakuaje?
 
Watibeli ni wakina nani?
Na tafsiri ya Taikon ni nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…