binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,097
- 34,351
Enheee mi nawaambiaga marafiki zangu labda uwe umelogwa kwenu, ila katika hali ya kawaida utashindwaje kupata mtu?Ukiona hautakiwi ujue huna mvuto. logical ipo hivyo.
Watu hutaka wale wanaowavutia.
Kuna mvuto WA kimaumbile,
Mvuto wa vipaji
Mvuto wa kazi na kipato.
Mvuto wa nguvu au cheo.
Inawezekana vipi MTU akakosa yote hayo?
Enheee mi nawaambiaga marafiki zangu labda uwe umelogwa kwenu, ila katika hali ya kawaida utashindwaje kupata mtu?
Make us understandβ¦. ukipata muda fungua uzi, Sir!Pia kuna suala la timing ni factor muhimu Sana kwenye mahusiano
Make us understandβ¦. ukipata muda fungua uzi, Sir!
Anhaaaa sawasawaβ¦Okay.
Sisi wanafalsafa tunasema Attractions is dynamic
Suala la time ni factor muhimu na yalazima kwenye mambo karibia yote.
Unaniona mimi.
Naweza kuwa nakuvutia wewe hata kama hukiri na kuvutia wanawake wengine kwa wakati huu. Lakini hali hiyo haitadumu. Ni Jambo la wakati tuu.
Hata humu husikii watu wakisema au wakimuambia MTU umepoteza ushawishi au mvuto. Sio kwamba amepoteza bali muda umempita.
So binti Yangu, kama bado hujaolewa, lakini vijana Wana sarandia, huu ndio wakati wa kufanya best choice. Pakiwa na machaguo mengi.
Siku sio nyingi rate itapungua na watabaki kukufuata wale wasio na vigezo unavyovitaka.
Ikiwaka unamulika. Ikizima unapapasa. Ndivyo watibeli tulivyo
Anhaaaa sawasawaβ¦
Atakua tayari anabondwabondwa huyuNilitegemea hili.
Haya hebu mchek cocastic akusajili kwenye chama chenu.
Hayo ni maisha yako uliyoamua kuishi lakini huko mbeleni usije ukasumbua ndugu kukulea. Utakapofika 60 utaelewa maana ya kuwa na familia.Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Kijana mdogo kabisa , ndevu bado changa kabisaπ€£Ndio hivyo usiwapotezee Sana hawa vijana min -me na Poor Brain Angalia anayekufaa mjengane. Wakikusumbua wasiliana na mimi kakaako
Kijana mdogo kabisa , ndevu bado changa kabisaπ€£
Bwashee wewe si una mke ?Nishamaliza. Msimsumbue mdogo wangu huyo
Bwashee wewe si una mke ?
So hata watoto huwataki, hawana faida?Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Yule wa kukuvalisha pampers unae?Kaka nnamirad itakayo nsimamia
Cha muhimu ni kuwa na pesa hio fainali ikikukita haina shidaFainali uzeeni mkuu; na kwa umri wako hauko mbali na fainali.
Vv
Kifo ni kifo tu mshana , Ukifa huku ukiwa umezungukwa na watu au Ukifa huku ukiwa peke Yako haiwezi kubadilisha ukweli kwamba umekufaHawa ndio wale hufia chumbani pekeyao
Una uhakika Gani kwamba watoto utakao wazaa Wataishi mpaka pale utakapo kuwa Mzee !?Fainali uzeeni mkuu; na kwa umri wako hauko mbali na fainali.
Vv
Tuna familia hatuna stress zaidi ya furaha. Si kila mwanaume anaweza kuwa na familia (kuwa baba bora). Anyway furahia maisha yako...Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Ila watu wa Jamii Forums kiboko. Kwa hiyo umeenda kupekua mafaili kabisa πππ