Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,910
- 86,764
exactly hiki ndicho huwa najiuliza sana, yani kuna mtu ata vocha tu mpaka aisotee wee, bill ikija anakosa amani anagombana na anaochangia nao! Kodi,mavazi etc ni kasheshe! Mungu atusaidie sana!Kabisa, basic needs zisipatikane kwa kutumia nguvu nyingi sana. Unakuta chakula tu hadi tutumie nguvu, kulala kodi hadi mtu anataka kufukuzwa na landlord...mahitaji kama hayo tusitumie nguvu kuyapata.