StreetMindTZ
Member
- Jan 5, 2026
- 62
- 154
Uhai hauhitaji ukamilifu, unahitaji mwelekeo.Yani hapo sijaelewa unaishije huna kila kitu..
Uhai hauhitaji ukamilifu, unahitaji mwelekeo.Yani hapo sijaelewa unaishije huna kila kitu..
Hebu tuweke jambo vizuri.Kuna kupitia hali ngumu kiuchumi.Kuna kuishi kifukara/kimasikini/duni.Halafu kuishi kwa bajeti ndogo.Wewe kipi kinakutesa zaidi mkuu?we usikie tu umasikini
Hujawahi kukutana na ile hali huna kila kitu? Huna kazi, huna hela, huna kodi huna mwelekeo huna yani HUNA!!Uhai hauhitaji ukamilifu, unahitaji mwelekeo.
hapo nazungumzia uhalisia wa maisha ya watu wengi wanaoishi ndani ya umasikiniHebu tuweke jambo vizuri.Kuna kupitia hali ngumu kiuchumi.Kuna kuishi kifukara/kimasikini/duni.Halafu kuishi kwa bajeti ndogo.Wewe kipi kinakutesa zaidi mkuu?
Sasa hapo unakuwa the walking dead!Hatari.Maana huna hata wa kukushika mkono.Hujawahi kukutana na ile hali huna kila kitu? Huna kazi, huna hela, huna kodi huna mwelekeo huna yani HUNA!!
HUNA leo, lakini HUNA haimaanishi KUISHIA.Hujawahi kukutana na ile hali huna kila kitu? Huna kazi, huna hela, huna kodi huna mwelekeo huna yani HUNA!!
Aisee nimecheka kama mzuri😂💔Sasa hapo unakuwa the walking dead!Hatari.Maana huna hata wa kukushika mkono.
Mimi naamini asilimia zaidi ya 80 ya Watanzania (kwa mfano) wana uzoefu au wanaishi maisha ya kimasikini.Lakini,wapo na wanaendelea kupambana Milo,mavazi na malazi hivyohivyo.Kwa hiyo,sidhani kama kuna ugeni sana kwenye maisha ya umasikini kwa watu wengi.Usiogope.hapo nazungumzia uhalisia wa maisha ya watu wengi wanaoishi ndani ya umasikini
Na inatesa sana, na hata zina haribu sana ustawi wa familia na jamiiLaana ya umasikini ni mbaya sana
Haimaanishi sawaa, lakini kuna watu wanayaishi haya maisha moaka wakeshazoea na hana cha kupoteza ameshapata ganzi ya moyo lolote na liwe!HUNA leo, lakini HUNA haimaanishi KUISHIA.
Umasikini ni laana, hakuna cha hali ya muda wala hali ya kudumu. Hakuna masikini anaaminiwa na ndio maana hata hekima ya maskini yaonekana kama upumbavu hata kama una sound goodUmaskini si laana, ni hali ya muda tu. Kuwa masikini hakumaanishi kuwa maisha yako hayana maana au thamani. Hali hiyo inaweza kuumiza, kudhalilisha, au kufanya maisha yawe magumu, lakini bado uhai ni nafasi ya kubadilisha, kujifunza, na kupambana. Kila mtu ana nafasi ya kuleta mabadiliko – kwa juhudi, busara, na subira. Laana halina nguvu zaidi ya ile unayoikubali; maisha hayapimwi kwa mali, bali kwa uwezo wa kusimama hata baada ya kushuka.
Sawa kaka nitapiga moyo kondeKukata tamaa ni mzizi wa dhambi.Kwa maana humo kuna mawazo mabaya,kulaani hovyo,chuki,hasira,uchungu na maamuzi mabaya.Usikate tamaa,jipe moyo!
We kupambana sana, hii laana ya umaskini ivunjike vunjikeYani hapo sijaelewa unaishije huna kila kitu..
Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyoMimi naamini asilimia zaidi ya 80 ya Watanzania (kwa mfano) wana uzoefu au wanaishi maisha ya kimasikini.Lakini,wapo na wanaendelea kupambana Milo,mavazi na malazi hivyohivyo.Kwa hiyo,sidhani kama kuna ugeni sana kwenye maisha ya umasikini kwa watu wengi.Usiogope.
Ngoja Ni Ku Jibu VIZURI Kidogo ....we usikie tu umasikini
Maisha,hasa kwa walio na Imani kidini,hushamgaza sana.Utaishi tu na riziki hujiijia kwa njia za ajabu kabisa.ndo hali niliyokuwa naizungumzia hapo no basic needs
Sio rahisi kama unavyoongeaNgoja Ni Ku Jibu VIZURI Kidogo ....
Hata kama unasikia umasikini, usiruhusu uwe kikwazo cha thamani yako. Umaskini ni hali, si utambulisho. Maisha yanaendelea kwa wale wanaoendelea kutafuta, kupambana, na kustahimili – hata wakati kila kitu kinaonekana kushindwa.
Legally or illegally😁We have to fight every hard, hii laana ya umaskini ivunjike vunjike