Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Wakuu niajee,

Umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso, umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.

Kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk. Kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.

Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana, the world is not fair.

View attachment 3527002
kuna jamaa uku canada yuko kama ww nae huwa anasema n bora kufa kuliko kuishi nchi za ulimwengu wa tatu.....

sasa apo sjui nani bingwa yeye au ww
 
Back
Top Bottom