Thesonboy
JF-Expert Member
- Nov 20, 2025
- 901
- 2,493
Kila la kheri mkuu 😅😅Wengine tunataka vyote🤡
Ufanikiwe upate vyote
Kila la kheri mkuu 😅😅Wengine tunataka vyote🤡
Sawa sawa! Kila mtu na mtazamo wake binafsi sipo kwenye umri wa kuwa committed na mtu anyhowly 🫢😅 Mie binafsi upwiru sio issue, huwa naupuuza, commitment sio lazima uwe kwenye ndoa, ila zaweza kuja Kwa mtu una amani na furaha nae na ukaona huyu ndie furaha na amani yangu.. so unajipinda kuitunza hiyo furaha na amani Kwa resources zote
😅😅 Safi sana mkuu.. ipe mwili kitu roho yapendaSawa sawa! Kila mtu na mtazamo wake binafsi sipo kwenye umri wa kuwa committed na mtu anyhowly 🫢
Sawa mkuu🫡😅😅 Safi sana mkuu.. ipe mwili kitu roho yapenda
Ongea na watu vzrNchi gani hio bibie
Akupe chimbo 😅Nchi gani hio bibie
Ndio maana nilifunguaga uzi hapa kuhusu hili suala la maskini kuzaa watoto kama panya kwa imani uchwara za kila mtoto huja na sahani yake.Sema umaskini na ujinga ni mapacha. Mtu unajijua maskini watoto wengi wa nini? Hii picha inawakilisha upumbavu wa maskini wengi. Jitu ni fukara lakini watoto sita. Na hapo anaweza ongeza mke akipata vijisenti. Halafu maskini wengi wana roho mbaya sana.. wanaongoza kwa uchawi na mambo mengine maovu.
Mmerahisishiwa lakini hamuoni😑 mtupumzishe wapenda sasampa🤌🏾Dooh
ndio maana kuna makundi mawili hapo utajiri na umaskini juhudi zako tu ndo zitaamua uwe kundi lipi kati ya hayo mawili!.Umeongea sahihi,
Ila umasikini ni mateso
AfadhaliHiyo picha hapo juu nadhani ni AI
Thamani ya mtu haipimwi kwa pesa aliyonayo, kazi aliyonayo, wala hali aliyonayo kwa sasa. Thamani ya mtu ipo kwenye utu wake, maamuzi yake, na uwezo wake wa kusimama hata anapokuwa hana. Pesa hubadilika, hali hubadilika, lakini utu na mwelekeo wa mtu ndivyo vinavyombeba maisha yote.Thamani ya mtu ni Nini?
Hii picha ni ya AIFicha sura zao, onesha tu mazingira ya hali hiyo
Kama bora kuishi basi ni kheri ukaishi porini mbali na walimwengu hawa wanatupa frustration sana.Umasikini si mwisho wa maisha wala kipimo cha thamani ya mtu. Maisha yana maana hata kabla ya utajiri, na wengi waliofanikiwa walianzia chini kabisa. Bora kuishi, kujifunza, na kupambana kuliko kukata tamaa.
Si lazima uishi porini ili upate amani; wakati mwingine unahitaji akili ya porini ukiwa katikati ya watu.Kama bora kuishi basi ni kheri ukaishi porini mbali na walimwengu hawa wanatupa frustration sana.