Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi..!!!!!!!????????
Ingia mtaani tafuta maskini hata 100.
Waulize swali moja kwa kila mmoja
"nikupe bilioni 1 usiku huu, ila kesho uamke umekufa, ama nisikupe uendelee kuishi"
Wengi watachagua kuishi.
Utagundua,
Umaskini si sababu ya kusema bora kufa,
 
Wakuu niajee,

Umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso, umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.

Kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk. Kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.

Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana, the world is not fair.

View attachment 3527002
Umaskini na utajiri ni hali mbili za kiuchumi zinazokinzana katika maisha ya mwanadamu. Uwepo wa hali hizi mbili ni sehemu ya mpangilio wa ulimwengu, kwa kuwa katika maisha kila kitu hujitokeza kwa mfumo wa utofauti ili binadamu aweze kutambua maana ya hali moja kwa kuilinganisha na nyingine. Kupitia utofauti huu ndipo ufahamu wa kukosa na kupata hujengwa. Katika mtazamo wa kimaadili, utajiri ni ibada kwa mwenye kumiliki, kwani humtaka awajibike na autumie kwa haki, ilhali umasikini ni ada kwa mwenye kukosa, anayelipa gharama ya subira, uvumilivu na changamoto za maisha.
 
Umaskini na utajiri ni hali mbili za kiuchumi zinazokinzana katika maisha ya mwanadamu. Uwepo wa hali hizi mbili ni sehemu ya mpangilio wa ulimwengu, kwa kuwa katika maisha kila kitu hujitokeza kwa mfumo wa utofauti ili binadamu aweze kutambua maana ya hali moja kwa kuilinganisha na nyingine. Kupitia utofauti huu ndipo ufahamu wa kukosa na kupata hujengwa. Katika mtazamo wa kimaadili, utajiri ni ibada kwa mwenye kumiliki, kwani humtaka awajibike na autumie kwa haki, ilhali umasikini ni ada kwa mwenye kukosa, anayelipa gharama ya subira, uvumilivu na changamoto za maisha.
Okay
 
Back
Top Bottom