Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Angeandika hata page 1000.

Angefunguka mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkapa hiki kitabu kakiandika kwa woga, ujanjaujanja na uongo wa mapengo.

Hakutaka kufunguka kwa "ukweli na uwazi" kama anavyojitapa. Ndiyo maana kaandika kitabu kifupi. The main text is about 260 pages with added facts, figures, Azimio la Arusha excerpts etc that stretches it to about 320 pages.

Nimekisoma kitabu baada ya kusoma kitabu cha Samantha Power. Granted, Power simjui kama ninavyomjua Mkapa. I grew up with the Mkapas in Upanga. Ndiyo maana namjua Mkapa mpaka maongezi ya dinner table kwake na jinsi anavyokataza watoto kunywa maji mpaka wamalize kula kwanza. Mchizi wangu alikuwa ananilalamikia " Mshua noma sana, tukila anakataza kunywa maji. Anasema hakuna mtu kunywa maji mpaka umalize kula".

Lakini, ukimsoma Samantha Power unaona alivyokuwa open kuhusu maisha yake. Vulnerably so. Mkapa katupa hadithi nzuri ya maisha yake, ukweli kauficha.

Ujue unavyoandika zaidi, unafunguka zaidi. Ndiyo maana Mkapa kaandika kifupi sana.

Nakumbuka kwenda party moja ya kwa Mkapa, ali mu introduce Peter kama mwanaye ambaye anajivunia sana. Peter ni mtoto wa kufikia wa Mkapa, kwa Mama Anna na Basil Mramba.

Basi ungekuwepo kwenye hiyo party ungeona kwamba Mkapa anampenda Peter kuliko hata hao wanawe wa kibaiolojia kina Nico na Stephan.

Nimekuja kusoma kitabu, nakuta Peter kawa deleted kabisa. Hakutajwa hata sehemu moja. Katika watoto wanatajwa Nico na Stephan tu, kama Peter si mtoto wa nyumba ya Mkapa. Ukisoma kitabu bila kuijua familia, utafikiri Mkapa alimkuta Mama Anna bila mtoto. One can argue that this is a professional memoir with less emphasis on family, but then, if so, why mention Nico and Stephan?

Nikasononeka sana kwa unyanyapaa huu.

Sasa huo ni mfano mdogo tu wa maneno yaliyoachwa kuandikwa katika kitabu hicho ambayo watu wasioijua familia ya Mkapa kwa karibu hawatayajua.

Lakini wengine tunaojua ya ndani zaidi tumesoma kitabu tukaona hapa kaacha kusema hiki, hapa kaacha kile.

Mfano, Mkapa alikuwa na nafasi nzuri ya kuwa role model katika ndoa changa na za zamani zenye matatizo ambazo zinayakabili matatizo na kuyashinda.

Kuelekea uchaguzi wa 1995, familia ya Mkapa ilikuwa inasambaratika. Mama alikuwa amechoka ubabe wa mzee. Talaka ilikuwa inanukia (ingawa Mkapa alisema Wakatoliki talaka mpaka idhini ya Papa, na yeye alikuwa radhi kuishi sehemu tofauti na Mama Anna lakini hakuwa tayari kumtaliki). Msaada pekee ukawa Nyerere. Akamwambia Mkapa wewe unaenda kuongoza nchi, sitaki kusikia maneno ya talaka wala kuachana, mtakaa chini, mtazungumza, mtamaliza tofauti zenu na mkeo.

Wakakaa chini, wakazungumza, wakamaliza tofauti. Nyerere ndiye aliyewasuluhisha. Haya ni maneno ya kutoka kwa wanafamilia wenyewe.

Ukisoma kitabu utafikiri wamekuwa kwenye ndoa ya furaha mwanzo mwisho. Huo ni uongo by omission.

Ningemsamehe zaidi kama asingejinadi kwa ukweli na uwazi.

Huyu ndiye baba wa "Ukweli na Uwazi".

Sasa sisi wasela tusemeje?

Hapo nimegusia familia tu, ambako hakuna kesi. Ukienda zaidi unakuta kitabu kinaacha maswali mengi zaidi ya majibu. Yani kaandika mambo kirahisi rahisi sana kama wote wajinga na hatujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkapa hiki kitabu kakiandika kwa woga, ujanjaujanja na uongo wa mapengo.

Hakutaka kufunguka kwa "ukweli na uwazi" kama anavyojitapa. Ndiyo maana kaandika kitabu kifupi. The main text is about 260 pages with added facts, figures, Azimio la Arusha excerpts etc that stretches it to about 320 pages.

Nimekisoma kitabu baada ya kusoma kitabu cha Samantha Power. Granted, Power simjui kama ninavyomjua Mkapa. I grew up with the Mkapas in Upanga. Ndiyo maana namjua Mkapa mpaka maongezi ya dinner table kwake na jinsi anavyokataza watoto kunywa maji mpaka wamalize kula kwanza. Mchizi wangu alikuwa ananilalamikia " Mshua noma sana, tukila anakataza kunywa maji. Anasema hakuna mtu kunywa maji mpaka umalize kula".

Lakini, ukimsoma Samantha Power unaona alivyokuwa open kuhusu maisha yake. Vulnerably so. Mkapa katupa hadithi nzuri ya maisha yake, ukweli kauficha.

Ujue unavyoandika zaidi, unafunguka zaidi. Ndiyo maana Mkapa kaandika kifupi sana.

Nakumbuka kwenda party moja ya kwa Mkapa, ali mu introduce Peter kama mwanaye ambaye anajivunia sana. Peter ni mtoto wa kufikia wa Mkapa, kwa Mama Anna na Basil Mramba.

Basi ungekuwepo kwenye hiyo party ungeona kwamba Mkapa anampenda Peter kuliko hata hao wanawe wa kibaiolojia kina Nico na Stephan.

Nimekuja kusoma kitabu, nakuta Peter kawa deleted kabisa. Hakutajwa hata sehemu moja. Katika watoto wanatajwa Nico na Stephan tu, kama Peter si mtoto wa nyumba ya Mkapa. Ukisoma kitabu bila kuijua familia, utafikiri Mkapa alimkuta Mama Anna bila mtoto. One can argue that this is a professional memoir with less emphasis on family, but then, if so, why mention Nico and Stephan?

Nikasononeka sana kwa unyanyapaa huu.

Sasa huo ni mfano mdogo tu wa maneno yaliyoachwa kuandikwa katika kitabu hicho ambayo watu wasioijua familia ya Mkapa kwa karibu hawatayajua.

Lakini wengine tunaojua ya ndani zaidi tumesoma kitabu tukaona hapa kaacha kusema hiki, hapa kaacha kile.

Mfano, Mkapa alikuwa na nafasi nzuri ya kuwa role model katika ndoa changa na za zamani zenye matatizo ambazo zinayakabili matatizo na kuyashinda.

Kuelekea uchaguzi wa 1995, familia ya Mkapa ilikuwa inasambaratika. Mama alikuwa amechoka ubabe wa mzee. Talaka ilikuwa inanukia (ingawa Mkapa alisema Wakatoliki talaka mpaka idhini ya Papa, na yeye alikuwa radhi kuishi sehemu tofauti na Mama Anna lakini hakuwa tayari kumtaliki). Msaada pekee ukawa Nyerere. Akamwambia Mkapa wewe unaenda kuongoza nchi, sitaki kusikia maneno ya talaka wala kuachana, mtakaa chini, mtazungumza, mtamaliza tofauti zenu na mkeo.

Wakakaa chini, wakazungumza, wakamaliza tofauti. Nyerere ndiye aliyewasuluhisha. Haya ni maneno ya kutoka kwa wanafamilia wenyewe.

Ukisoma kitabu utafikiri wamekuwa kwenye ndoa ya furaha mwanzo mwisho. Huo ni uongo by omission.

Ningemsamehe zaidi kama asingejinadi kwa ukweli na uwazi.

Huyu ndiye baba wa "Ukweli na Uwazi".

Sasa sisi wasela tusemeje?

Hapo nimegusia familia tu, ambako hakuna kesi. Ukienda zaidi unakuta kitabu kinaacha maswali mengi zaidi ya majibu. Yani kaandika mambo kirahisi rahisi sana kama wote wajinga na hatujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilisoma "story za vijiweni" kwamba Mkapa hana mtoto kabisa wa yeye kumzaa. Kumbe ni za uzushi.
 
Nilisoma "story za vijiweni" kwamba Mkapa hana mtoto kabisa wa yeye kumzaa. Kumbe ni za uzushi.
Ujue hata uzushi nao una maana yake. Mtu wa familia wa kujimwayamwaya na wanawe si rahisi kumzushia hana mtoto.

Mtu kama Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi unaanzaje kumzushia hana mtoto? Maana mzee anawatoto wengine utafikiri wajukuu wake. Wakisimama mtoto wa kwanza na wa mwisho unaweza kusema huyo wa kwanza ni mazazi wa huyo wa mwisho. Katimiza yale maandiko ya "zaeni mkaijaze dunia".

Mkapa alikuwa yuko kikazi zaidi :)
 
Ujue hata uzushi nao una maana yake. Mtu wa familia wa kujimwayamwaya na wanawe si rahisi kumzushia hana mtoto.

Mtu kama Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi unaanzaje kumzushia hana mtoto? Maana mzee anawatoto wengine utafikiri wajukuu wake. Wakisimama mtoto wa kwanza na wa mwisho unaweza kusema huyo wa kwanza ni mazazi wa huyo wa mwisho. Katimiza yale maandiko ya "zaeni mkaijaze dunia".

Mkapa alikuwa yuko kikazi zaidi :)
Siku zote niliishi nikiamini haakuwa na mtoto jamani. Basi wanasema alikuwa anafanya kazi nje sijui nchi gani basi boss ambaye ni mtu mkubwa serekalini huko nchi ya nje akaona Mkapa atatembea na mke wake hivyo akamfanyia dawa asiwe na uwezo wa kushiriki tendo.
Lol

Mwinyi nae sijawahi kusikia kuhusu watoto wake, tofauti na Kikwete nimemsikia Ridhiwan na Magufuli nimemsikia Jesca.
 
Siku zote niliishi nikiamini haakuwa na mtoto jamani. Basi wanasema alikuwa anafanya kazi nje sijui nchi gani basi boss ambaye ni mtu mkubwa serekalini huko nchi ya nje akaona Mkapa atatembea na mke wake hivyo akamfanyia dawa asiwe na uwezo wa kushiriki tendo.
Lol

Mwinyi nae sijawahi kusikia kuhusu watoto wake, tofauti na Kikwete nimemsikia Ridhiwan na Magufuli nimemsikia Jesca.
Inawezekana ulikuwa mdogo kipindi cha Mwinyi. Mwinyi mbona mwanawe mmoja ni Waziri wa Ulinzi Dr. Hussein Mwinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee unasoma unaona kabisa hapa pameandikwa na mtu mwenye uelewa na upeo mpana sana, mkuu Kiranga heshima yako
Mkapa hiki kitabu kakiandika kwa woga, ujanjaujanja na uongo wa mapengo.

Hakutaka kufunguka kwa "ukweli na uwazi" kama anavyojitapa. Ndiyo maana kaandika kitabu kifupi. The main text is about 260 pages with added facts, figures, Azimio la Arusha excerpts etc that stretches it to about 320 pages.

Nimekisoma kitabu baada ya kusoma kitabu cha Samantha Power. Granted, Power simjui kama ninavyomjua Mkapa. I grew up with the Mkapas in Upanga. Ndiyo maana namjua Mkapa mpaka maongezi ya dinner table kwake na jinsi anavyokataza watoto kunywa maji mpaka wamalize kula kwanza. Mchizi wangu alikuwa ananilalamikia " Mshua noma sana, tukila anakataza kunywa maji. Anasema hakuna mtu kunywa maji mpaka umalize kula".

Lakini, ukimsoma Samantha Power unaona alivyokuwa open kuhusu maisha yake. Vulnerably so. Mkapa katupa hadithi nzuri ya maisha yake, ukweli kauficha.

Ujue unavyoandika zaidi, unafunguka zaidi. Ndiyo maana Mkapa kaandika kifupi sana.

Nakumbuka kwenda party moja ya kwa Mkapa, ali mu introduce Peter kama mwanaye ambaye anajivunia sana. Peter ni mtoto wa kufikia wa Mkapa, kwa Mama Anna na Basil Mramba.

Basi ungekuwepo kwenye hiyo party ungeona kwamba Mkapa anampenda Peter kuliko hata hao wanawe wa kibaiolojia kina Nico na Stephan.

Nimekuja kusoma kitabu, nakuta Peter kawa deleted kabisa. Hakutajwa hata sehemu moja. Katika watoto wanatajwa Nico na Stephan tu, kama Peter si mtoto wa nyumba ya Mkapa. Ukisoma kitabu bila kuijua familia, utafikiri Mkapa alimkuta Mama Anna bila mtoto. One can argue that this is a professional memoir with less emphasis on family, but then, if so, why mention Nico and Stephan?

Nikasononeka sana kwa unyanyapaa huu.

Sasa huo ni mfano mdogo tu wa maneno yaliyoachwa kuandikwa katika kitabu hicho ambayo watu wasioijua familia ya Mkapa kwa karibu hawatayajua.

Lakini wengine tunaojua ya ndani zaidi tumesoma kitabu tukaona hapa kaacha kusema hiki, hapa kaacha kile.

Mfano, Mkapa alikuwa na nafasi nzuri ya kuwa role model katika ndoa changa na za zamani zenye matatizo ambazo zinayakabili matatizo na kuyashinda.

Kuelekea uchaguzi wa 1995, familia ya Mkapa ilikuwa inasambaratika. Mama alikuwa amechoka ubabe wa mzee. Talaka ilikuwa inanukia (ingawa Mkapa alisema Wakatoliki talaka mpaka idhini ya Papa, na yeye alikuwa radhi kuishi sehemu tofauti na Mama Anna lakini hakuwa tayari kumtaliki). Msaada pekee ukawa Nyerere. Akamwambia Mkapa wewe unaenda kuongoza nchi, sitaki kusikia maneno ya talaka wala kuachana, mtakaa chini, mtazungumza, mtamaliza tofauti zenu na mkeo.

Wakakaa chini, wakazungumza, wakamaliza tofauti. Nyerere ndiye aliyewasuluhisha. Haya ni maneno ya kutoka kwa wanafamilia wenyewe.

Ukisoma kitabu utafikiri wamekuwa kwenye ndoa ya furaha mwanzo mwisho. Huo ni uongo by omission.

Ningemsamehe zaidi kama asingejinadi kwa ukweli na uwazi.

Huyu ndiye baba wa "Ukweli na Uwazi".

Sasa sisi wasela tusemeje?

Hapo nimegusia familia tu, ambako hakuna kesi. Ukienda zaidi unakuta kitabu kinaacha maswali mengi zaidi ya majibu. Yani kaandika mambo kirahisi rahisi sana kama wote wajinga na hatujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paula Paul Basi juzi kati nikasema nisome The hitchhiker's guide to the galaxy, nimecheka sana. Kipindi fulani nilicheki movie yake nikaona mbovu, kumbe kitabu chake kizuri. Kama namuona Marvin 'akiona' anazinguliwa, eti, He called to Marvin, who crawled up the slope making a big show of being lame, which he wasn’t.

Nilicheka huyu Vogon anavyorahisisha mambo.
“What do you mean, you’ve never been to Alpha Centauri? For heaven’s sake, mankind, it’s only four light-years away, you know. I’m sorry, but if you can’t be bothered to take an interest in local affairs that’s your own lookout.
“Energize the demolition beams.”
Nimemaliza kusoma The journey of man_A genetic odyssey cha Spencer Wells. Kinaangalia genetic diversities kwa watu duniani na kupitia hiyo, kujaribu kuangalia namna walisambaa. Kinaelezea uzuri sana jinsi binadamu alivyotoka Africa na kusambaa dunia yote. Ni kizuri sana.

1579733098220.png
 
Paula Paul Basi juzi kati nikasema nisome The hitchhiker's guide to the galaxy, nimecheka sana. Kipindi fulani nilicheki movie yake nikaona mbovu, kumbe kitabu chake kizuri. Kama namuona Marvin 'akiona' anazinguliwa, eti, He called to Marvin, who crawled up the slope making a big show of being lame, which he wasn’t.

Nilicheka huyu Vogon anavyorahisisha mambo.
“What do you mean, you’ve never been to Alpha Centauri? For heaven’s sake, mankind, it’s only four light-years away, you know. I’m sorry, but if you can’t be bothered to take an interest in local affairs that’s your own lookout.
“Energize the demolition beams.”
Nimemaliza kusoma The journey of man_A genetic odyssey cha Spencer Wells. Kinaangalia genetic diversities kwa watu duniani na kupitia hiyo, kujaribu kuangalia namna walisambaa. Kinaelezea uzuri sana jinsi binadamu alivyotoka Africa na kusambaa dunia yote. Ni kizuri sana.

View attachment 1331373
Hitchhiker's is a classic.

Hicho Journey of Man sounds very interesting.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkapa hiki kitabu kakiandika kwa woga, ujanjaujanja na uongo wa mapengo.

Hakutaka kufunguka kwa "ukweli na uwazi" kama anavyojitapa. Ndiyo maana kaandika kitabu kifupi. The main text is about 260 pages with added facts, figures, Azimio la Arusha excerpts etc that stretches it to about 320 pages.

Nimekisoma kitabu baada ya kusoma kitabu cha Samantha Power. Granted, Power simjui kama ninavyomjua Mkapa. I grew up with the Mkapas in Upanga. Ndiyo maana namjua Mkapa mpaka maongezi ya dinner table kwake na jinsi anavyokataza watoto kunywa maji mpaka wamalize kula kwanza. Mchizi wangu alikuwa ananilalamikia " Mshua noma sana, tukila anakataza kunywa maji. Anasema hakuna mtu kunywa maji mpaka umalize kula".

Lakini, ukimsoma Samantha Power unaona alivyokuwa open kuhusu maisha yake. Vulnerably so. Mkapa katupa hadithi nzuri ya maisha yake, ukweli kauficha.

Ujue unavyoandika zaidi, unafunguka zaidi. Ndiyo maana Mkapa kaandika kifupi sana.

Nakumbuka kwenda party moja ya kwa Mkapa, ali mu introduce Peter kama mwanaye ambaye anajivunia sana. Peter ni mtoto wa kufikia wa Mkapa, kwa Mama Anna na Basil Mramba.

Basi ungekuwepo kwenye hiyo party ungeona kwamba Mkapa anampenda Peter kuliko hata hao wanawe wa kibaiolojia kina Nico na Stephan.

Nimekuja kusoma kitabu, nakuta Peter kawa deleted kabisa. Hakutajwa hata sehemu moja. Katika watoto wanatajwa Nico na Stephan tu, kama Peter si mtoto wa nyumba ya Mkapa. Ukisoma kitabu bila kuijua familia, utafikiri Mkapa alimkuta Mama Anna bila mtoto. One can argue that this is a professional memoir with less emphasis on family, but then, if so, why mention Nico and Stephan?

Nikasononeka sana kwa unyanyapaa huu.

Sasa huo ni mfano mdogo tu wa maneno yaliyoachwa kuandikwa katika kitabu hicho ambayo watu wasioijua familia ya Mkapa kwa karibu hawatayajua.

Lakini wengine tunaojua ya ndani zaidi tumesoma kitabu tukaona hapa kaacha kusema hiki, hapa kaacha kile.

Mfano, Mkapa alikuwa na nafasi nzuri ya kuwa role model katika ndoa changa na za zamani zenye matatizo ambazo zinayakabili matatizo na kuyashinda.

Kuelekea uchaguzi wa 1995, familia ya Mkapa ilikuwa inasambaratika. Mama alikuwa amechoka ubabe wa mzee. Talaka ilikuwa inanukia (ingawa Mkapa alisema Wakatoliki talaka mpaka idhini ya Papa, na yeye alikuwa radhi kuishi sehemu tofauti na Mama Anna lakini hakuwa tayari kumtaliki). Msaada pekee ukawa Nyerere. Akamwambia Mkapa wewe unaenda kuongoza nchi, sitaki kusikia maneno ya talaka wala kuachana, mtakaa chini, mtazungumza, mtamaliza tofauti zenu na mkeo.

Wakakaa chini, wakazungumza, wakamaliza tofauti. Nyerere ndiye aliyewasuluhisha. Haya ni maneno ya kutoka kwa wanafamilia wenyewe.

Ukisoma kitabu utafikiri wamekuwa kwenye ndoa ya furaha mwanzo mwisho. Huo ni uongo by omission.

Ningemsamehe zaidi kama asingejinadi kwa ukweli na uwazi.

Huyu ndiye baba wa "Ukweli na Uwazi".

Sasa sisi wasela tusemeje?

Hapo nimegusia familia tu, ambako hakuna kesi. Ukienda zaidi unakuta kitabu kinaacha maswali mengi zaidi ya majibu. Yani kaandika mambo kirahisi rahisi sana kama wote wajinga na hatujui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiko kitabu sijajisumbua kukinunua wala kukisoma.

Binafsi simpemdi kabisa Mkapa wala Magufuli.

Ila sera za Mkapa nilizipenda kidogo baada ya kuzisoma.

Hiko kitabu nina uhakika 100% atataja only 5% ya ukweli ambao angetakiwa kuusema.

Sikuona umuhimu wa kuhangaika nacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiko kitabu sijajisumbua kukinunua wala kukisoma.

Binafsi simpemdi kabisa Mkapa wala Magufuli.

Ila sera za Mkapa nilizipenda kidogo baada ya kuzisoma.

Hiko kitabu nina uhakika 100% atataja only 5% ya ukweli ambao angetakiwa kuusema.

Sikuona umuhimu wa kuhangaika nacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu ilikuwa muhimu kukisoma, hata kama ni kusoma kwa kuangalia kipi hajaandika na kipi kaandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paula Paul Basi juzi kati nikasema nisome The hitchhiker's guide to the galaxy, nimecheka sana. Kipindi fulani nilicheki movie yake nikaona mbovu, kumbe kitabu chake kizuri. Kama namuona Marvin 'akiona' anazinguliwa, eti, He called to Marvin, who crawled up the slope making a big show of being lame, which he wasn’t.

Nilicheka huyu Vogon anavyorahisisha mambo.
“What do you mean, you’ve never been to Alpha Centauri? For heaven’s sake, mankind, it’s only four light-years away, you know. I’m sorry, but if you can’t be bothered to take an interest in local affairs that’s your own lookout.
“Energize the demolition beams.”
Nimemaliza kusoma The journey of man_A genetic odyssey cha Spencer Wells. Kinaangalia genetic diversities kwa watu duniani na kupitia hiyo, kujaribu kuangalia namna walisambaa. Kinaelezea uzuri sana jinsi binadamu alivyotoka Africa na kusambaa dunia yote. Ni kizuri sana.

View attachment 1331373

Umekimaliza Red Giant?
Hiki cha The Journey of A Man... Sijawahi kukisoma. Itabidi nikitafute.
 
Back
Top Bottom