Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,649
Tatizo kila wakosoaji wengi wanaothubutu wachache
Hapo tuko pamoja. Ila mimi huwa naamini kwamba mtu anakosa haki ya kulaumu na kulalamika kama yeye mwenyewe hawezi kufanya hicho kitu na kama kipo ndani ya uwezo wake au kama hatimizi wajibu wake.