Bongo star search 2015

wachache sana wanaelewa hilo
 
hawa majaji uchwara wanaua vipaji ni bora tungepata majaji kutoka kenya ndio maana havumi nje ya nchi
 
Nilupenda pale mc aliposema hapa kazi tu akakutana na nguvu ya umma
 
Kweli muziki wa bongo ni ujanja ujanja tu, usiku mwema wapendwa, ngoja nikalale tu, sijui hata huo usingizi kama utakuja.

Pole mama inauma sana wanashabikia waswahili wakat wameita msanii kutoka naija..... Di is shiiit
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…