Judges wako bias.....
Sema Hizi ndio nyimbo waswahili wanapenda....Isha Mashauzi...Msagasumu....Vigodoro n.k
Kayumba ni sampuli ya Jumanne Iddi na yule mshindi wa mwisho Emmanuel Msuya....Ambao walikuwa na nyota ya kupendwa na wanacopy but hawaonekani kwenye soko la muziki...
Nassib Fonabo atafika mbali sana....Anaweza muziki