Ukiona mtu anaongea maneno ya hovyo ujue amefilisika kichwani.hata hivyo thread yake haina maana. anzisha ya kwako kama unaona hiyo haina maslahi
kuna vijana kibao wametoka kupitia BSS sasa hao unasema nao walizalilishwa?
habari za kuchongea sasa hivi jamii forums hazina mahala pake
siye tunataka mambo ya kweli na siyo fitina
wapi uko?Wewe bana na wewe peleka hizi kule kwenye thread za BS..sasa kila mtu akileta mshiriki wake hapa jamvini kutakuwa na thread ngapi?
Mnamo saa moja lililopita nilikuwa miliman city hapa jijini Dar!kwakweli KWA MARA YA KWANZA nimeona 'matunda halisi' ya bongo star search!hawa vijana wawili feisal na madaha WANAUZA ALBUM ZAO MBILI pale ndani unapoingia SHORITE,dah!NI UBUNIFU WA HALI YA JUU!nisingependa kukumalizia utamu we cha kufanya unaporudi ofisin pitia pale kakamate album hizo mbili zikiwa katika audio na video kwa sh 11000 zote mbili,UTAZIPENDA TU
hongereni saaaana pilipili!MMELETA KITU KIPYA KABISA SIO SIRI!watanzania tuwape support hawa wasanii,na hii lebel!NIMEWAPENDA KWA UJUMLA!
hapa nipo zangu maeneo napitia pitia forum ya 'wajanja' huku nakula musics yao hapa!dah!
BRAVO-WADOGO ZANGU