Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Hakuna shida Jombaa, nilichomaanisha kwa kifupi ni kwamba, wanaume wa kipindi chetu hiki unapaswa kuwa mjanja sana na unachokipata dhidi ya wanawake. Jifunze mbinu za kumpata mwanamke kwa gharama ndogo sana, hakikisha unatanguliza maslai yako zaidi kwake kuliko yake.

Usiwekeze kwa mwanamke, hakikisha unakuwa na ahadi usizozitekeleza huku ukiendelea kula vitu pole pole. Kanuni kuu, usitumie pesa kwa mwanamke ila mtengenezee taswira ya kwamba utatumia pesa. Mpaka anakuja kuamka ataishia kukuita mbahili na mbinafsi, muda huo ushapata vyako.

Ujumbe mkuu niliotaka ufikie wanaume ni kwamba wawe na ujanja wa kutumia ubinafsi wa wanawake dhidi yao wao wenyewe. Ukiona unatumia sana pesa ujue wewe bado sana na unafeli pakubwa sana. Usiwe mwanaume unayemnunulia simu au kumlipia kodi, bali kuwa mwanaume unayekula vitu tu. Jifunze ufisi wa kuwekwa kundi hili na mwanamke.

Kwa kila mwanamke kila mwanaume ana kazi yake, hakikisha usiwe mtatuzi wa shida zake.
Hizi medani za kibaharia ni level za Colonel 😂!!!
Kanuni ni zile zile za kibepari, msaada wa mda mfupi...Exploitation ya muda mrefu!
 
For sure hali imekuwa tete sana,siku hizi watu hawatongozi tena yaan asaiv ni full kununua tu maana hakuna namna,yaan ukiwa na 10k unakula burudani na no stress kabisa...halaf malaya high quality kinyama yaan,,,kuna mmoja nmemchukua juzi aisee yule manzi mkali kinyama full msambwanda..dada zetu wamezid vizinga na kwa taarifa yao asaiv hawatupat ng'o!...kuna mibwege itakuja hapa kupinga et mnawezaje kununua malaya
Eeh utuambie unawezaje,je unapiga kavu
 
Ungemwambia sim tu ilizima chaji tu, ya jana yashapita tuyaache...Af hapo linaomba vocha lichat na Gerlad wakati we unamenyeka!
Yanakera sana yanaomba vocha yanachat upande wa pili hata whatsup unamkuta online mpaka maanane sijui anachat na nani
 
Hivi inawezekana kabisa humu hamna wakaka wanaokutana na wadada wasiotanguliza pesa mbele kwenye mahusiano??
Shida inakuja wadada wasotanguliza pesa mbele kwenye mahusiano huwa wanakutana na wakaka wanaopenda vitonga. Na wakaka tusiopenda mapenzi pesa ndo tunakutana na wadada pasua kichwa. Ko huu msiba ni wengi mama
 
Hakuna shida Jombaa, nilichomaanisha kwa kifupi ni kwamba, wanaume wa kipindi chetu hiki unapaswa kuwa mjanja sana na unachokipata dhidi ya wanawake. Jifunze mbinu za kumpata mwanamke kwa gharama ndogo sana, hakikisha unatanguliza maslai yako zaidi kwake kuliko yake.

Usiwekeze kwa mwanamke, hakikisha unakuwa na ahadi usizozitekeleza huku ukiendelea kula vitu pole pole. Kanuni kuu, usitumie pesa kwa mwanamke ila mtengenezee taswira ya kwamba utatumia pesa. Mpaka anakuja kuamka ataishia kukuita mbahili na mbinafsi, muda huo ushapata vyako.

Ujumbe mkuu niliotaka ufikie wanaume ni kwamba wawe na ujanja wa kutumia ubinafsi wa wanawake dhidi yao wao wenyewe. Ukiona unatumia sana pesa ujue wewe bado sana na unafeli pakubwa sana. Usiwe mwanaume unayemnunulia simu au kumlipia kodi, bali kuwa mwanaume unayekula vitu tu. Jifunze ufisi wa kuwekwa kundi hili na mwanamke.

Kwa kila mwanamke kila mwanaume ana kazi yake, hakikisha usiwe mtatuzi wa shida zake.
Hili formula haitiki ujue wamesomea wale kuchuna pesa kwanza wanasema no money no services
 
Suala hili ni tatizo ila ukiliaangalia kwa mapana chanzo ni sisi wanaume.


Miaka ya nyuma mdada ulikuwa ukimwambia ntakuowa tu umemaliza, yani atakuamini na kukuheahimu kama mumewe mtarajiwa so tukawa tunaitumia kama fursa ya kula tunda kimasiharamasihara end of the day wadada wanabaki na vilio na maumivu yakurubuniwa na kusalitiwa.

Hivyo wanawake wameona isiwe tabu mana wanaume shida yetu si uchi na tukishapata tunahama basi uchi tutapewa ila nasisi tutoe pesa ili mwisho wa siku we ujutie pesa zako nayeye akakande papuchi yake. Ni hesabu rahisi tu
 
Kwanini msioe Mbona nirahisi tu
Tatizo siku hizi ukitaka kuoa , lazima mtaanza mauhsiano ya kufahamiana kwanza tabia na unataka kuishi na mtu Wa aina Gan , tatizo linaanzia hapa.
Imeadiatelly unamtongoza mdada , aisee hizo bills zinazokuja, unaweza enda nunua Kiwanja kingine,
Mwanaume unatongoza ukijua labda hapa naweza opoa mwenzi Wangu Wa maisha, mwanamke yeye anawaza sasa hapa nimepata fursa ya kufanya maendeleo yang u na kutoa matatizo yangu , sasa unafikiria hapo ndoa itakuwepo .

Chamsingi wanawake inatakiwa wapunguze kuomba omba Sana mwanzo Wa mahusiano , wanafanya wanaume wawakimbie na kuona wanaume wote ni waongo .
Kuomba haikatazwi Ila ukizidisha Sana ni hatari Sana kwa wapenzi wapya
 
Suala hili ni tatizo ila ukiliaangalia kwa mapana chanzo ni sisi wanaume.


Miaka ya nyuma mdada ulikuwa ukimwambia ntakuowa tu umemaliza, yani atakuamini na kukuheahimu kama mumewe mtarajiwa so tukawa tunaitumia kama fursa ya kula tunda kimasiharamasihara end of the day wadada wanabaki na vilio na maumivu yakurubuniwa na kusalitiwa.

Hivyo wanawake wameona isiwe tabu mana wanaume shida yetu si uchi na tukishapata tunahama basi uchi tutapewa ila nasisi tutoe pesa ili mwisho wa siku we ujutie pesa zako nayeye akakande papuchi yake. Ni hesabu rahisi tu
Ndio gharama za kupotezewa muda wameona wajilipe kupitia mizinga tu 😂😂😂 sema hii hali imekithiri na kuwa kero.
 
Tatizo siku hizi ukitaka kuoa , lazima mtaanza mauhsiano ya kufahamiana kwanza tabia na unataka kuishi na mtu Wa aina Gan , tatizo linaanzia hapa.
Imeadiatelly unamtongoza mdada , aisee hizo bills zinazokuja, unaweza enda nunua Kiwanja kingine,
Mwanaume unatongoza ukijua labda hapa naweza opoa mwenzi Wangu Wa maisha, mwanamke yeye anawaza sasa hapa nimepata fursa ya kufanya maendeleo yang u na kutoa matatizo yangu , sasa unafikiria hapo ndoa itakuwepo .

Chamsingi wanawake inatakiwa wapunguze kuomba omba Sana mwanzo Wa mahusiano , wanafanya wanaume wawakimbie na kuona wanaume wote ni waongo .
Kuomba haikatazwi Ila ukizidisha Sana ni hatari Sana kwa wapenzi wapya
Ndio Concept ya ajira inapokuja. Yani ukimtongoza akiona dalili kuwa pesa zipo atakukubalia ila akiwa na malengo umboreshee maisha yake. Shida inakuja sasa kwamba sio waaminifu yani ni kwamba hata ukimpa huduma sio guarantee kwamba atakuwa loyal kwako. Unaweza ukawa unampa ila nae anashea tunda na mtu mwengine ambaye hamuhenyeshi kwa bills kama wewe.

Hii unevenly distribution of resources ndio inaleta malalamiko 😂 maana unapasuka sana yani the moment umeomba mahusiano tu nyuklia zinaanza.
 
Mwanamke ni mwanamke tu, hio kusema kuna wa gharama na asie na gharama ni uongo tu. Ni kitu ambacho wameki impose kwetu na tumekubali kwa ujinga wetu.
Wanawake wazuri gharama
 
Demu wa mansese hauwezi kumfananisha na wa masaki au oysterbay.
Mwanamke ni mwanamke tu, hio kusema kuna wa gharama na asie na gharama ni uongo tu. Ni kitu ambacho wameki impose kwetu na tumekubali kwa ujinga wetu.
 
Kuwa na madem watatu halafu kuwa mjanja mjanja mbona utainjoi life.

Huyu akihitaji Kodi unahamia kwa yule. Yule akizungua unahamia kwa huyu. Life's simple.

Ukikomaaa na manzi mmoja mtakufa kwa presha.
 
Ndio gharama za kupotezewa muda wameona wajilipe kupitia mizinga tu [emoji23][emoji23][emoji23] sema hii hali imekithiri na kuwa kero.
Kiufupi ni kwamba hawatuamini tena ko ukimsalimia tu anajua unataka k usepe ko nayeye anakuwahi ili akutumie kabda hujamtumia
 
Back
Top Bottom