Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Mimi nikikutana nao huwa nawauliza kabisa gharama zao ni zipi.... Then natoa portion ya gharama naanza kujipigia mzigo.... Vingine namwambia baadae kisha nakuja mgeuka namwambia na yeye atazame namna gani vipi anaweza fanya.

Kwa hali ilivyosasa watoto wakike wajifunze tu uvumilivu na kuyajenga na mtu m'moja hizi tamaa zao wakisema wategemee kugegedwa ndio walipe kodi, hizo nyuchi huwa zina limit ya matumizi. Na huwa zinachuja.....

Mtu unaliwa na mashine tofauti kila weekend?!
Mkuu huyo bitch unakuwa umelokota (disposable) au umempiga verse kimjinimjini baada ya kuchukua contacts!
 
Mi nishakuwa nao wawili
Hivi inawezekana kabisa humu hamna wakaka wanaokutana na wadada wasiotanguliza pesa mbele kwenye mahusiano??
but kitu ambacho nimegundua i was good at picking the right cherries! Ila wenzangu wanalalamika na pia nimeshuhudia kuwa i was a really lucky dude..😅
 
kuja moja nilizima simu kesho yake akaniambia au ulijua nitakuomba vocha tena? 😅😅 nikajua huwa yanafanya makusudi
Ungemwambia sim tu ilizima chaji tu, ya jana yashapita tuyaache...Af hapo linaomba vocha lichat na Gerlad wakati we unamenyeka!
 
Kuja jamaa alisema Yani ile umeanza tu mawasiliano ya simu demu wa kibongo anakuwa ameishiwa kodi ya nyumba/chumba kwa hiyo umlipie, ameibiwa simu hiyo ulomkuta nayo amefanya kuazimwa kwa hiyo umnunulie, amefiwa na bibi yake mlezi au anauguliwa kwa hiyo umpe nauli aweze kusafiri , nywele zimechoka kwa hiyo umpe hela ya saluni kama anagari atakwambia bovu umpe hela ya kwa fundi,

Kama ni single mother atakwambia mwanangu amefukuzwa Shule hajalipa ada

Sasa jamaa akauliza how coincidence is that?

Yani kila mara ni kutoa shida zake na kutaka pesa tu?!

Wanaume wanaibiwa sana!
Aseeh she a dangerous...oh yeah!
Mama ni kitu kali aseeh...
she a dangerous...oh yeah!

Hayo mambo yote ni utapeli tu! Kuna majamaa bado yanapigwa lakini sie wachache tuliosanuka tunaitwa hatuna hela 😂😂😂 au bahili
 
Huwa najiuliza sana, how come these guys huwa wanakutana na wanawake wa aina hiyo hiyo kila siku

Inabidi wajitazame usikute wanalalamika ilhali wao wenyewe ndio tatizo
Ngumu sana kwa kweli, huwa hawajui wanachokitafuta kwenye mahusiano, wanataka kuonyesha nguvu ya pesa kwenye penzi, demu akirespond wanalalamika kwamba ni biashara
 
Back
Top Bottom