Kuja jamaa alisema Yani ile umeanza tu mawasiliano ya simu demu wa kibongo anakuwa ameishiwa kodi ya nyumba/chumba kwa hiyo umlipie, ameibiwa simu hiyo ulomkuta nayo amefanya kuazimwa kwa hiyo umnunulie, amefiwa na bibi yake mlezi au anauguliwa kwa hiyo umpe nauli aweze kusafiri , nywele zimechoka kwa hiyo umpe hela ya saluni kama anagari atakwambia bovu umpe hela ya kwa fundi,
Kama ni single mother atakwambia mwanangu amefukuzwa Shule hajalipa ada

Sasa jamaa akauliza how coincidence is that?

Yani kila mara ni kutoa shida zake na kutaka pesa tu?!
Wanaume wanaibiwa sana!