Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Pambana uswahilini kwenu kwa wakina asha ngedele. Nyie ndio mmakuja kufungua nyuzi za kula mademu kimasihala humu.
pole sana...me mwenyewe nlkuwa huko namm nlidhani hakuna mwanga na sitaweza shika mil500...
cha muhimu usikate tamaa utafika
 
Ukiwa fisi "kiungo mjanja mjanja na fundi" ni rahisi sana kuwatafuna bila kutoboka mfuko.

Kanuni ni ile ile toa ahadi zaidi ila usitekeleze. Wanawake huwa wanaamini uongo zaidi kuliko ukweli.

Ndio maana wale machalii wema wema sana "nice guys" huwa wanalia sana ktk mapenzi. Wanawake wanawapenda sana wanaume ambao wanawaumiza nafsi zao na sio kinyume chake.
Utaitwa mchumi boss
 
"Kwa hali ilivyo sasa viumbe esp. jinsia pinzani waishio katika Tized hasa maeneo ya mijini wamegeuza swala la mapenzi kuwa kama ajira kwa maana wanadai stahiki zote a.k.a house allowance, transport allowance bila kusahau invoice za kujikimu a.k.a per diem yani misosi, saluni, vocha vocha hizi!

Haya mambo ameyaongea jamaa yangu kwa hasira nikacheka sana akidai kwamba hali ni tete.

Nilimcheka sana jamaa ila nimeona nije kushea nanyi mnieleze experience zenu kuhusu hili! Je, kweli hawa watoto wamefikia kiwango hicho?
kawaida mbona leo ndio umeshtuka
 
Heheheh na wanaowaumiza are the most guys who easily gets into their pants. Yani inashangaza mwanamke anavyokuwa mwepesi kukuvulia chupi ukiwa tapeli kuliko ukiwa mkweli and genuine.
Tapeli tena yaani unaombwa hela ya saluni unasema kesho kesho nani atakuelewa hata Simu hujamnunulia
 
Back
Top Bottom