mastaa wa bongo wanafoc kuongea ngeli utaskia ...be honest go home.....
walinzi wote lazma wawe hamnazo
mtu akisimulia kitu husema ...basi ilikua hivi ...kisha anaangalia juu
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.
Wanaongea utadhan wanasoma kwenye karatasi:
Cyndi: Makala je unanipenda mimi?
Makala: Ndio Cyndi, nakupenda sana.
Cyndi: Makala je utakuja nyumbani leo?
Makala: Cyndi la hasha, sitaweza kuja nyumbani leo.