Bongo-IT Community facebook Page

sie ambao hatupo ktk fani hiyo ya IT.hamturuhusu kutembelea hiyo tovuti ili nasi tujifunze?
 
Yaani nikisikia facebook najhisi kama narud kwny ujinga ujinga wa kitoto (teenage)...i hate that network!
 
Yaani nikisikia facebook najhisi kama narud kwny ujinga ujinga wa kitoto (teenage)...i hate that network!

Well It depends on how one sees the glass, whether half full or hald empty!!!!

Kwa mfano mimi niko mbali na home, hapa nilipo net bure, familia yetu tuko kumi, hapo hujaongeza ndugu jamaa na marafiki??? If it was not for facebook and skype, I would have to call them (money!!!), hapo nina ndugu wengine wako nchi zingine, wote tunajumuika facebook, tuna group letu tume create, so we chat together, kwa hiyo napiga sim mara chache sana na nikipiga naonongea na wazazi!!! So yes I dont hate facebook!!!!!!!!!!!!!

Nimesoma shule tofauti tofauti, (labda kama wewe umesoma shule moja kuanzia msingi hadi chuo)... mimi binafsi, nimefurahi kuunganishwa na classmates wangu tena... Its like a miracle!!! So I dont hate facebook!!!! Kuna magroups ya shule nilizokua kuna meetings tunakutana, fundraizings tunafanya, and this is called social networking... its healthy for you!

Naandika kitabu sasa hivi about my mom, so sometimes I post notes to my friends worldwide, napata audits, challenges na mambo kama hayo, hapo fikiria kama ningekua nataka kuanzisha biashara, this is the best best to start it easy marketing ukijumlisha na blogs, magazeti na midomo yetu!!!! So I dont hate facebook!!!!

My point!!!
Facebook sio all about kupost kama umekula, hujala, unapumua, umejikwaa... its much much more than this!!!!! Au umesahau misri????
Eniwei, this is my perspective, you can continue hating facebook!!!
 
Yaani nikisikia facebook najhisi kama narud kwny ujinga ujinga wa kitoto (teenage)...i hate that network!

Sorry to say so, but it seems as if you are thinking slowly or old minded, Tatizo ambalo unachukia facebook ni kwamba wabongo wengi wanatumia hiyo network kwa mapenzi, kuchat na ujinga mwangine. Wabongo wanatumia technology kwa kufanya ujing na sio maendeleo, Hebu cheki wenzetu wanavyo tumia facebook huko kwingine...
Jeshi la anga la marekani
Ukurasa wa Rais wako
Huu ni ukurasa wa Steve Jobs C.E.O wa apple anautumia kutoa matamko maalum

Sasa watu na org hizi wanatumia db kama ku craete a link to all people rather that relying on websites. Tatizo ni wabongo hawajui maana yake!
 
Well It depends on how one sees the glass, whether half full or hald empty!!!!

Kwa mfano mimi niko mbali na home, hapa nilipo net bure, familia yetu tuko kumi, hapo hujaongeza ndugu jamaa na marafiki??? If it was not for facebook and skype, I would have to call them (money!!!), hapo nina ndugu wengine wako nchi zingine, wote tunajumuika facebook, tuna group letu tume create, so we chat together, kwa hiyo napiga sim mara chache sana na nikipiga naonongea na wazazi!!! So yes I dont hate facebook!!!!!!!!!!!!!

Nimesoma shule tofauti tofauti, (labda kama wewe umesoma shule moja kuanzia msingi hadi chuo)... mimi binafsi, nimefurahi kuunganishwa na classmates wangu tena... Its like a miracle!!! So I dont hate facebook!!!! Kuna magroups ya shule nilizokua kuna meetings tunakutana, fundraizings tunafanya, and this is called social networking... its healthy for you!

Naandika kitabu sasa hivi about my mom, so sometimes I post notes to my friends worldwide, napata audits, challenges na mambo kama hayo, hapo fikiria kama ningekua nataka kuanzisha biashara, this is the best best to start it easy marketing ukijumlisha na blogs, magazeti na midomo yetu!!!! So I dont hate facebook!!!!

My point!!!
Facebook sio all about kupost kama umekula, hujala, unapumua, umejikwaa... its much much more than this!!!!! Au umesahau misri????
Eniwei, this is my perspective, you can continue hating facebook!!!

In addition to that
Sorry to say so, but it seems as if you are thinking slowly or old minded, Tatizo ambalo unachukia facebook ni kwamba wabongo wengi wanatumia hiyo network kwa mapenzi, kuchat na ujinga mwangine. Wabongo wanatumia technology kwa kufanya ujing na sio maendeleo, Hebu cheki wenzetu wanavyo tumia facebook huko kwingine...
Jeshi la anga la marekani
Ukurasa wa Rais wako
Huu ni ukurasa wa Steve Jobs C.E.O wa apple anautumia kutoa matamko maalum

Sasa watu na org hizi wanatumia db kama ku craete a link to all people rather that relying on websites. Tatizo ni wabongo hawajui maana yake!
 
Yaani nikisikia facebook najhisi kama narud kwny ujinga ujinga wa kitoto (teenage)...i hate that network!

Ni mtazamo tu Babaubaya.. Facebook ni mbaya kama ikitumiwa vibaya, ila pia ni nzuri sana kama ikitumiwa vizuri.. Kama mchangiaji mmoja aliesema kwamba ukitumia facebook ku-post vitu vya ajabu ajabu basi, hilo ni kosa..

Bongo-IT Community page, inawakaribisha watu wote wenye mapenzi na IT.. Katika page hii, tunaitumia kama meeting point ya kukusanya mawazo, taarifa na resources zingine ambazo zitatusaidia katika kupiga hatua kwenye sekta hii..

Unakaribishwa sana..
 
Jamani wana Jf mimi nimejaribu kujiunga kwenye Bongo IT facebook page nimefuata taratibu zake nimeandika jina la kwanza jina la mwisho,email yangu ,passwd ,tarehe ya kuzaliwa mwaka wa kuzaliwa baadae nika SIGN UP nikapewa neno ambalo niliandika then nika SIGN tena LAKINI HAKUNA MATOKEO YOYOTE SO NAOMBA MWENYE KUFAHAMU ANISAIDIE ASANTE
 
Jamani wana Jf mimi nimejaribu kujiunga kwenye Bongo IT facebook page nimefuata taratibu zake nimeandika jina la kwanza jina la mwisho,email yangu ,passwd ,tarehe ya kuzaliwa mwaka wa kuzaliwa baadae nika SIGN UP nikapewa neno ambalo niliandika then nika SIGN tena LAKINI HAKUNA MATOKEO YOYOTE SO NAOMBA MWENYE KUFAHAMU ANISAIDIE ASANTE

Oky .. Kutokana na maelezo yako, inaonesha hukuwa na account facebook.. So, just sign in facebook, then nenda kwenye search field ya facebook na andika "Bongo IT community" then search..

Ukiiona imekuja, just like it. .. then utakua umejiunga na page
 
Sorry to say so, but it seems as if you are thinking slowly or old minded, Tatizo ambalo unachukia facebook ni kwamba wabongo wengi wanatumia hiyo network kwa mapenzi, kuchat na ujinga mwangine. Wabongo wanatumia technology kwa kufanya ujing na sio maendeleo, Hebu cheki wenzetu wanavyo tumia facebook huko kwingine...
Jeshi la anga la marekani
Ukurasa wa Rais wako
Huu ni ukurasa wa Steve Jobs C.E.O wa apple anautumia kutoa matamko maalum

Sasa watu na org hizi wanatumia db kama ku craete a link to all people rather that relying on websites. Tatizo ni wabongo hawajui maana yake!
unajua some of us are having negative attitudes on something bila sababu za msingi. asante kwa kumjibu huyo ndugu vizuri nafikiri atachange his attitude toward most of things.
 
Bongo-IT Community | Facebook

Tanzanian Information Technology facebook page :
Urz + Mine = Ours ..
Alone is Weak, Together is Strong .. Exchange of idea doubles to Ideas, but Exchange of property halves the property.. Think of the value of ur +ve thoughts ...
Join "B-iT Community" page.. They share the best from IT technology ..
.. More promised to come ...!!
 
Back
Top Bottom