Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Katika kujiongezea kipato cha ziada mbali na mapambano ya ngumi nje na ndani ya nchi bondia huyu kutoka Gym ya Naccoz ameamua kujikita pia katika ujasiriamali.
Hivi majuzi ameanza ujasiriamali kwa kufungua mgahawa unaoitwa Naccoz maeneo ya Mabibo Makutano,
Ubungo,Dar es Salaam.
Amewaomba wadau wa ngumi na wapenzi wake waje kwa wingi kupata huduma ya chakula kilichoandaliwa na wapishi wa kimataifa na bei nafuu ili kuenda sambamba na hali ya uchumi ya wananchi.
Ukija mgahawani kwangu utapata huduma ya vyakula vya kila aina, kama pilau,biriani,
ugali,ndizi,supu za kila aina na vitafunwa.
Pia napokea oda mbalimbali kama katika harusi, sherehe na hafla mbalimbali.
Siku ya sherehe ya uzinduzi wa mgahawa wangu natarajia kuwaalika wadau mbalimbali wa ngumi na mashabiki wangu
kutakuwa na mgeni rasmini Waziri wa Michezo au mbunge wa Ubungo'' alisema bondia huyo anayejiandaa na fight dhidi ya mpinzani wake kutoka Misri ,Julai 10.
Matarajio yangu siku ya mbele nitanue biashara yangu ya mgahawa Tanzania nzima kuwe na matawi ya Naccoz restaurant and Catering.
Changamoto kwa sasa mtaji,
naomba serikali na wadau wa ngumi wanipe support hata ya mkopo au msaada wa kifedha ili nitimize ndoto zangu kwani ngumi zinamwisho wake, kuna kustaafu,alisisitiza bondia huyo.
Hivi majuzi ameanza ujasiriamali kwa kufungua mgahawa unaoitwa Naccoz maeneo ya Mabibo Makutano,
Ubungo,Dar es Salaam.
Amewaomba wadau wa ngumi na wapenzi wake waje kwa wingi kupata huduma ya chakula kilichoandaliwa na wapishi wa kimataifa na bei nafuu ili kuenda sambamba na hali ya uchumi ya wananchi.
Ukija mgahawani kwangu utapata huduma ya vyakula vya kila aina, kama pilau,biriani,
ugali,ndizi,supu za kila aina na vitafunwa.
Pia napokea oda mbalimbali kama katika harusi, sherehe na hafla mbalimbali.
Siku ya sherehe ya uzinduzi wa mgahawa wangu natarajia kuwaalika wadau mbalimbali wa ngumi na mashabiki wangu
kutakuwa na mgeni rasmini Waziri wa Michezo au mbunge wa Ubungo'' alisema bondia huyo anayejiandaa na fight dhidi ya mpinzani wake kutoka Misri ,Julai 10.
Matarajio yangu siku ya mbele nitanue biashara yangu ya mgahawa Tanzania nzima kuwe na matawi ya Naccoz restaurant and Catering.
Changamoto kwa sasa mtaji,
naomba serikali na wadau wa ngumi wanipe support hata ya mkopo au msaada wa kifedha ili nitimize ndoto zangu kwani ngumi zinamwisho wake, kuna kustaafu,alisisitiza bondia huyo.