mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 543
- 1,875
Ukweli usemwee juu ya mTanzania mwenzetu na mwanamichezo wa mchezo ngumi nchini ndugu Twaha kiduku kuhusu uwezo wake mdogo katika mchezo wa ndondi, naheshimu kipaji chake na kazi yake ya ngumi lakini baada ya kutazama pambano lake la Leo dhidi ya bondia mzee mwenye miaka 45,ndugu mohamed sebyala kutoka Uganda, na mapambano yake zaidi ya matano ya nyuma ikiwemo alilopoteza dhidi ya bondio kutoka south Africa inatosha kabisa kufanya analysis na kugundua huyu ni bondia wakawaida sana ambaye anapewa sifa nyingi za ubora ambao hana hata chembe.
Twaha kiduku ni boxer asiyekuwa na skills na inaonekana huwa hafati game plan za makocha wake, kwa kifupi ni bondia mkurupukaji ULINGONI anayerusha ngumi hovyo hovyo kama punguani . Anatumia nguvu nyingi kuliko akili na siku zote anategemea bahati nasibu ili kushinda. Simuoni Twaha kiduku akitamba kwa boxers kama Mwakinyo, ibra classic, mfaume mfaume, selemani kidunda, n.k, kama akipagana nao regardless ya weight class yake bado wanaweza kumtwanga kipigo cha mbwa koko.
Twaha kiduku ni boxer asiyekuwa na skills na inaonekana huwa hafati game plan za makocha wake, kwa kifupi ni bondia mkurupukaji ULINGONI anayerusha ngumi hovyo hovyo kama punguani . Anatumia nguvu nyingi kuliko akili na siku zote anategemea bahati nasibu ili kushinda. Simuoni Twaha kiduku akitamba kwa boxers kama Mwakinyo, ibra classic, mfaume mfaume, selemani kidunda, n.k, kama akipagana nao regardless ya weight class yake bado wanaweza kumtwanga kipigo cha mbwa koko.