SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,136
- 7,903
Karim Mandonga pamoja na kujizolea umaarufu katika mchezo wa ngumi, lakini wadau mbalimbali wanaona hautendei haki au kuupa heshima mchezo huo.
Jana nilikuwa naangalia clip moja akiwa Kenya katika maandalizi ya pambamo lake. Wakati anazungumza na waandishi, akasema mpinzani wake akipata ngumi yake ya tumbo asipokuwa na Pampers, basi atachafua hali ya hewa. Nikajiuliza huyu jamaa hata sheria za ngumi anazijua kweli?
Mandonga amesaidia kwa kiasi chake kuchangamsha game na sipo hapa kumzibia rizki yake, ila si mbaya kama tukianzisha sub-category ya mchezo wa ngumi inayoendana na style yake inayofanana kwa kiasi kikubwa na mieleka. Ngumi za kweli watu wanaenda kuona mtu anatwangwa siyo kumcheka bondia.
Tuwatendee haki mabondia wa kweli.
Jana nilikuwa naangalia clip moja akiwa Kenya katika maandalizi ya pambamo lake. Wakati anazungumza na waandishi, akasema mpinzani wake akipata ngumi yake ya tumbo asipokuwa na Pampers, basi atachafua hali ya hewa. Nikajiuliza huyu jamaa hata sheria za ngumi anazijua kweli?
Mandonga amesaidia kwa kiasi chake kuchangamsha game na sipo hapa kumzibia rizki yake, ila si mbaya kama tukianzisha sub-category ya mchezo wa ngumi inayoendana na style yake inayofanana kwa kiasi kikubwa na mieleka. Ngumi za kweli watu wanaenda kuona mtu anatwangwa siyo kumcheka bondia.
Tuwatendee haki mabondia wa kweli.