chadema wameharibu mji wa Arusha. Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.
Kama ulivyomjibu Tiba,nasi tunawasiwasi na elimu yako,sijawahi ona chama chenye dola na usalama wa Taifa ,watu wanatega mabomu,wanaua watu harafu viongozi wa serikali ukiwemo na wewe unasema ni chadema ndio wamelipua bomu kwa lengo lipi?