Lema akamatwe kwanza
kwa hiyo mliyatega ili mumkamate lema? Mtashindwa na kulegea!
Lema akamatwe kwanza
Rudisha kumbukumbu zako kwa Kazi Maalumu aliyopewa Mulongo.. badala ya kushughulikia Maendeleo yeye anatumia nguvu zote kuishughulikia Chadema ambayo ameishindwa
Juzi katia alijikanyaga karibia ajitaje akidai wahusika wa mabomu ya Kanisani na Mkutano wa Chadema ni wamoja na mabomu yametoka sehemu moja.. na kwamba wamewakamata.. Kesho yake Polisi wakamkana.
Waunde tume huru ukweli udhihirike..
Ukiwa na muda muulize kikao cha Morogoro kabla ya bomu la Soweto anakijua!?
Kama Bomu limetegwa kwa Rc nani kagundua kabla ya kulipuka? Tunataka majibu ya kina? Swali lenye utata inakuwaje kwingine kote yanalipuka kwa Rc lisilipuke liteguliwe? Tunataka majibu
Mkuu una akili sana
Kama Bomu limetegwa kwa Rc nani kagundua kabla ya kulipuka? Tunataka majibu ya kina? Swali lenye utata inakuwaje kwingine kote yanalipuka kwa Rc lisilipuke liteguliwe? Tunataka majibu
Yah yawezekana pia ikawa ndio wahusika maana sina imani hata tone na hili jichama chakavuMwigulu na CCM yake
chadema wameharibu mji wa Arusha. Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.
Mkuu unadhani makofi wanayojipgaga bongo movie huwa ni kweli? Hawa nao ni bongo movie hawawezi kujizulu wao.
Asubuhi hii askari Polisi na wa Jeshi wameizingira nyumba ya Serikali ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo iliyopo jirani na Mahakama Kuu Arusha wakijaribu kutegua kinachodhaniwa kuwa bomu kikiwa kimetegwa katika geti la kuingilia nyumba hiyo na watu wasiojilikana.
Hat kinjia kinachokatiza maeneo hayo kutokea Mt Meru Hotel nacho kimefungwa kwa muda.
Wakati huo huo kuna taarifa za usiku zikieleza watu kadhaa wamejeruhiwa katika Mgahawa mmoja maeneo ya Gymkhana Jijini hapa na wawili kati yao wako katika hali mbaya.
Hili litakuwa tukio la sita kutokea katika Jiji la Arusha ndani ya muda mfupi, kuanzia May 2013 mpaka sasa.
Tukio la kwanza lilikuwa Kanisani Olasiti watu watatu wakafa.
Baadee katika Mkutano Chadema Soweto watu watatu wakafa tena na mamia kulemaa
Ikafuata Usa River siku ya Mkesha wa mwaka mpya kwa wamama waliokuwa wanatoka kanisani
Halafu katoka Bar ya Arusha Night Park
Juzi hapa ikawa kwa nyumbani kwa Sheikh maeneo ya Majengo
Na sasa katika hiyo Vama Restaurant na chupuchupu kulipua nyumbani kwa RC!
Asubuhi hii askari Polisi na wa Jeshi wameizingira nyumba ya Serikali ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo iliyopo jirani na Mahakama Kuu Arusha wakijaribu kutegua kinachodhaniwa kuwa bomu kikiwa kimetegwa katika geti la kuingilia nyumba hiyo na watu wasiojilikana.
Hat kinjia kinachokatiza maeneo hayo kutokea Mt Meru Hotel nacho kimefungwa kwa muda.
Wakati huo huo kuna taarifa za usiku zikieleza watu kadhaa wamejeruhiwa katika Mgahawa mmoja maeneo ya Gymkhana Jijini hapa na wawili kati yao wako katika hali mbaya.
Hili litakuwa tukio la sita kutokea katika Jiji la Arusha ndani ya muda mfupi, kuanzia May 2013 mpaka sasa.
Tukio la kwanza lilikuwa Kanisani Olasiti watu watatu wakafa.
Baadee katika Mkutano Chadema Soweto watu watatu wakafa tena na mamia kulemaa
Ikafuata Usa River siku ya Mkesha wa mwaka mpya kwa wamama waliokuwa wanatoka kanisani
Halafu katoka Bar ya Arusha Night Park
Juzi hapa ikawa kwa nyumbani kwa Sheikh maeneo ya Majengo
Na sasa katika hiyo Vama Restaurant na chupuchupu kulipua nyumbani kwa RC!
Nitafurahi Kikwete atakapochomekwa majiti kama Gaddafi anaharibu sana nchi hii
You are very rightMaswali ya kawaida kujiuliza ni kwamba; kwa nini mabomu arusha na zanzibar? what is common between the two cities? TOURISM then jiulize who is our number one competitor kwenye tourism east africa? ishu za mabomu ya arusha na zanzibar hazina uhusiano na siasa .we are closing up a gap towards the real perpetrators
chadema wameharibu mji wa Arusha. Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.