Bomu lategwa nyumbani kwa RC Mulongo

Bomu lategwa nyumbani kwa RC Mulongo

chadema wameharibu mji wa Arusha. Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.

Sawa kaka hayo ni maoni yako na hamna anaeweza kukulazimisha kwa jambo lolote ila,nyumba inayolindwa na FFU 24/7(according to post ya hapa jf),tokea lini bomu likategwa bila hao FFU kuona?au walikua wamelala?au walimwona sema wakasema ngoja tuuchne then kesho tuseme?mbwa kamtegea dog ili wamsingizie paka afukuzwe na mwenye nyumba.
Naomba utumie busara ukiwa unachangia hoja mjumbe,usijudge mtu kutokana na chama bali judge kutokana na utendaji na ukijudge kwa chama nadhan hata mtoto wako anaweza anza kulia pindi akiona mzazi wake afikirii ipasavyo afu anamlazimisha mtoto wake afikirie.Nin kazi ya usalama wa taifa?huu ndio wajibu wao kutafta watu wanaofanya haya mambo na polisi pia wakiwemo na sio kupambana na mikutano ya chadema.Mabom yamelipuka mara nyng arusha mbna serikali haijatoa action yoyote ya kua tumemkamata mtu au tunahisi mtu flan kahusika ila kwa kua ni kwa RC then kesho utasikia Lema anahojiwa.Tutumie akili na sio kupelekwa kama vichwa vya wendawazimu
 
Ubalozi wa Marekani unalindwa na nani??? ........nilishakuambia nina wasiwasi na elimu yako.

Mkuu Ubalozi wa Marikani bomu halikutegwa kwenye gate, mlipuaji wa kujitolea mhanga alilipua bomu na kujilipua mwenyewe akiwa kwenye gari, hizi scenario hazifanani kabisa. Inaonyesha uelewa wako wewe na elimu yako mkuu ni questionable
 
Ubalozi wa Marekani unalindwa na nani??? ........nilishakuambia nina wasiwasi na elimu yako.

Ubalozi unalindwa ila nao walikiri kua udhaifu ulitokea katika security yao na ndio maana sasa hivi wameimarisha ulinzi zaid.Mandla naomba uwe muelewa na na mwenye kufikiri na sio kupelekwa tu na mtazamo wa chama flani.Mimi sina chama chochote hapa kwetu ila nasikiliza hoja,ukinipa hoja nzuri lazima nikukubali.
Mbona mabomu mengine hatujaskia jambo lolote lyk majibu ya serikali kuhusiana na hayo mabomu au hatujaskia watuhumiwa wamekamatwa au lah au serikali inawafatlia au lah,au kwa kua hayakuwagusa wakubwa wa nchi?
mambo mengine ni kufikiria kwanza na sio kulipuka tu
 
Mimi niko Chuga chalii yangu, hii mambo ni serikali inafanya. Siasa chafu za walioshindwa uongozi, huwezi niambia mabomu yoooote Arusha mpaka leo hakuna jibu la maana lililowahi kutolewa na polisi au kiongozi yeyote wa serikali.
Tuache ujinga.

Thanks brother mana umetoa hoja nzuri sana,mabomu yote yaliotokea Arusha,mbna serikali haijatoa jibu lolote?
 
nafikiri ni upuuzi mkubwa kusema arusha inaharibiwa na chadema, kwa nchi yenye vyombo vya usalama dhabiti, this is minor excuse
 
Jaman nyie watu tuoneeni huruma tunaoishi Arusha kwan tumewakosea nn jaman duuuuu:Cry:
 
usifanye utani na usalama wa watu kwa kuingiza siasa, subiri magaidi waingie hapo dodoma utaona!

Dodoma tutaendelea kuikumbatia ccm mpaka ukamilifu wa dahari, hatutaki MAPAKA ya chadema hata kidogo!!
 
Lema atawatafuna mpaka mkome...wakati yeye ni mtu wa Moshi. Kwanini asiende kutega hayo mabomu Moshi???
 
Wana - Arusha tujiulize, mbona Amani ilianza kutoweka baada 2010?
Maandamano, mapigano kati ya polisi na raia, mabomu kila mahali etc
 
Huu ni usanii tu. Nyumba ya mkuu wa mkoa inalindwa na FFU 24/7. Hao waliotega hilo bomu kwa nini hawakuonwa na hao askari na lilitegwa getini?

Nasema tena ni usanii.

Tiba

Ubalozi wa Marekani unalindwa na nani??? ........nilishakuambia nina wasiwasi na elimu
yako.

Ubalozi wa Marekani walipuaji walishikwa na kuadhibiwa, sasa Arusha mbona huwa hawashikwi? that's why Tiba anasema hivyo, fikiria kwa mapana zaidi mkuu, wewe ndo tuna wasiwasi na elimu yako!
 
Sasa kuku amerudi nyumbani kuatamia yale mayai aliyotaga!! Wakirushiwa Chadema mnawapuuza sasa kupuuza kwenu wanawarudi nyinyi sasa!! hata Al Quida walianza hivi hivi.
 
Je kama wamejitegea? Maana dola hii ambayo sina imani nayo nitakua wa mwisho kuamini kuwa hawajajitegea.

Na wasiwasi wana waandaa wana arusha kisaikolojia, na yupo MTU wao wanaejipanga Kumlipua na ikitokea watasema ni walewale na sio kuwa ilikuwa mahususi kwa ajili ya mtu huyo.
 
Lema atawatafuna mpaka mkome...wakati yeye ni mtu wa Moshi. Kwanini asiende kutega hayo mabomu Moshi???
Mbinu za Kikwete kumtoa Lema kwa kupitia mahakama zilishindwa kujaribu kumchonganisha na wananchi unawafanya wananchi waweze kumtetea zaidi kwani Kikwete kuwa raisi alichaguliwa na w.akwe.re peke yao acha ujinga wewe mwambie baba yako anayoyafanya yatamrejea muda tuu bado miezi 14 tuu aende kuvuna mananasi msoga
 
Wana - Arusha tujiulize, mbona Amani ilianza kutoweka baada 2010?
Maandamano, mapigano kati ya polisi na raia, mabomu kila mahali etc
Baada ya Kikwete kupora ushindi ameamua kuingiza siasa za umafia angejirudi ili aache nchi salama kama alivyokabidhiwa
 
Msifanye masihara katika masuara nyeti, sisi tuko Arusha ndo tunaface pinch

Usitake kutuaminisha visivyo aminiwa, tangu Mulongo awe RC hapo Arusha ndio matukio yote haya yametokea kwa hiyo ninaweza kusema ndio muhusika mkuu na hiki kinachofanyika kuelezea kuwa kategewa bomu nyumbani kwake ni usanii ili kutaka kumuondoa kwenye tuhuma zinazomkabili
 
Issue ya Arusha ni ya kisiasa....bad enough vyombo vya usalama vinajua ukweli wote lakini kwavile ajira zao ziko mikononi mwa hao wanasiasa wanakaa kimya......kumbukeni kauli ya Pengo.......Hivi vitu vinajulikana....watu wasio na hatia wanakufa.....hakuna taarifa za maana za kiusalama zinazotolewa....si sisi wananchi tunaohoji au vyombo vya habari..........Tumejaa ujinga kwavile tunaona yanawatokea wengine.......vyama vya upinzani vimeshindwa kuibana serikali eti hadi Rais aunde tume.....tume my foot? Sometimes hizi siasa ni ukichaa tu......
 
Back
Top Bottom