Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Mliosoma UDOM inabidi mkasome tena vyuo vingine Post Graduate!!! Elimu ya udom bado sanaaa...

Mi nadhan waajiri ndo wana data nzuri zaid juu ya magraduate.
ila kwa kuanzia kama utaweza, nenda Secretarieti ya ajira uwauluzie uwezo wa wanafunzi wanaotokea udom.
 
Mi nadhan waajiri ndo wana data nzuri zaid juu ya magraduate.
ila kwa kuanzia kama utaweza, nenda Secretarieti ya ajira uwauluzie uwezo wa wanafunzi wanaotokea udom.

Mimi binafsi nimeshaajiri wanafunzi wa UD miaka 4 iliyopita, nilitamani kulia uelewa wao ulivyokuwa mbovu.
 
Mimi binafsi nimeshaajiri wanafunzi wa UD miaka 4 iliyopita, nilitamani kulia uelewa wao ulivyokuwa mbovu.
bosi mwenye elimu ya kuungaunga huwezi kumkubali kijana aliyefaulu kutoka UD
 
Tunaposema huu upuuzi wa vyuo vya kata hautakiwi watu wanasema tuna dharau bora jamii inajionea yenyewe.
Ati mtu alifeli kidato cha nne leo hii anapewa cheti cha kuwa daktari...ukiuliza nini eti ooh tunapunguza uhaba wa madaktari...pambaff sana.



MY TAKE


  • SERIKALI INATAFUTA KURA
  • G.ABACHORI ANASAKA NOTI
  • MLALAHOI ANASAKA AJIRA YA URAHISI

UDOM inakutekenya na kukuwasha huko...ø...
 
Yani huu ni upuuzi.si ajabu ni mabonzo yaliyojaa humu yanayoendelea kupromote vyuo walivyosoma tuwaone wa maana.mimi naamini utendaji wa kazi unategema individualy.wewe kama ni kilaza mvivu mzembe umesoma UDSM.utabaki kuwa kilaza tuu.mfano hai shule ya kwanza kitaifa matokeo ya form six mbona ni shule ndogo tuu imepita shule kubwa ngapi.??kwa hiyo usiishi kwa kukariri historia.soma dogo uje kuwa competent kazini..usitegemee kuja na ukilaza wako ujitete umesoma MUHAS uonekane wa maana.tutasema Dr fulani ni kilaza..wala sio Dr kutoka UDOM au DR kutoka BUGANDO.Tena muache mijadala isiyo na tija wala faida.bali ni discrimination zisizo na maana.kama wewe unajihisi ni Dr wa maana na genius kuliko wenzako tuambie lipya ulilofanya kwa taifa.
Tena inaonesha wengi ni vitoto hata rotation hawajamaliza vimetawaliwa na mawazo na tabia za kisecondary..competation na majigambo ya ajabu ajabu.mnajidhalilisha.
 
Safi sana mkuu kwa kuelewa somo langu!waingereza au wamarekani hawataki kabisa kuruhusu uchakachuaji wa fani ya udaktari au afya kwa ujumla.

Ni haki yao kuiita MUHAS,UDOM,IMTU n.k kama vyuo visivyo na viwango kulingana na viwango walivyojiwekea.sasa nakushangaa sana unapochukia kuona watanzania tukiita IMTU haijakidhi viwango vya kitanzania.
Kuna kipindi ilikuwa ni lazima kupita internship Muhimbili kama hukusomea udaktari hapo Muhimbili!sasa ni bora liende!

Ongera kwa arguments zako, binafsi nakubaliana na wewe. wasiwasi wangu mkubwa ninaopata ni pale ambapo watu wengi wanashindwa kulewa arguments zako pamoja na ufafanuzi mwafaka unaoendelea kutoa. Kweli Tanzania tumefika pabaya!
 
Ongera kwa arguments zako, binafsi nakubaliana na wewe. wasiwasi wangu mkubwa ninaopata ni pale ambapo watu wengi wanashindwa kulewa arguments zako pamoja na ufafanuzi mwafaka unaoendelea kutoa. Kweli Tanzania tumefika pabaya!
mkuu!ndio maana nulitanguliza maneno yale pale juu kwenye thread,kwamba tukiongea wanatuona tuna dharau na kebehi!lakini ukweli una tabia ya kujitenga na uongo!Taifa limechoka kila sekta ndio maana tunajionea matukio kama haya!

Akili ndogo zimeshika hatamu ndio maana tunaona upuuzi huu,its time for akili kubwa kukemea kwa nguvu zote akili ndogo.
 
Ongera kwa arguments zako, binafsi nakubaliana na wewe. wasiwasi wangu mkubwa ninaopata ni pale ambapo watu wengi wanashindwa kulewa arguments zako pamoja na ufafanuzi mwafaka unaoendelea kutoa. Kweli Tanzania tumefika pabaya!

Daaa hv na unataka watanzania wafikir kwa upeo mdogo kama ww na mwenzako??? And u call your self a great thinker??
Mfano mzur ni ww na mwenzako thinking capacity zenu au na nyny mmesoma UDOM kwel nyiny wth that thnkng capacity siwez hata kuwajir muwe walinzi go back to school
 
Hoja yako yaweza kuwa na ukweli fulani lakini wakati mwingine inaweza isiwe kweli. Zamani watu walikuwa wanasoma wakiwa na umri mkubwa. Wapo walioanza shule wakiwa na miaka 15 au 12, siku hizi huanza shule na miaka 6 au 7. Zamani busara ilipimwa kwa kuwa na mvi kichwani sasa hivi hupimwa kwa vyeti alivyonavyo mtu. Miaka ya 1992 wakati serikali inaiondoa Mhimbili kuwa tawi la Chuo Kikuu cha DSM watu walipinga tena kwa migomo. Leo hii MUHAS inakubalika na kila mtu hata kimataifa. Jambo la msingi lilowapa MUHAS kukubalika ni utendaji wa wanafunzi wanaotoka MUHAS na sio jina la University of Dar es Salaam.
Cha kusikitisha ni kuwa wanaolalamikia kutofaa kwa UDOM ni wanafunzi au waalimu wa Muhimbili. UDOM na MUHAS kwa sasa ni washindani (competitors) au line staff. Katika ulimwengu wa ushindani hawezekani mshindani akusifu wala haikubaliki mkurugenzi wa kitengo fulani amtathimini mkurugenzi mwenzie wa kitengo kingine.
Hoja ya IMTU kutupa taka jalalani sioni ni jinsi gani linahusiana na ubora wa wanafunzi wanaohitimu IMTU na UDOM. Nilidhali hili linahusiana na uongozi wa chuo. It is more managerial issue rather than an academic issue. Lakini nijuavyo mimi wanafunzi waliohitimu Muhimbili mara zote wamekuwa wakijisifia kuwa wao ni bora zaidi kuliko madaktari waliosoma mahali pengine popote. Mfano wamekuwa wakiwabeza wanafunzi waliosoma Urusi, China, Hungary, Cuba nk nk. Sio ajabu kwa madaktari hawa hata wakiwabeza wenzo wa IMTU au UDOM. Kwa bahati mbaya waalimu wengi wanaofundisha katika vyo hivyo wanavyovibeza wanatoka Muhimbili hapohapo. Inakuwaje walimu haohao wakifundisha Muhmbili wanafundisha vizuri na wakifundisha IMTU wanashindwa kufundisha. Kama wanafunzi wa IMTU hawafai, wanafauluje sasa na marking scheme ni ileile! Hivi daktari aliyepasua kichwa badala ya mguu alisomawapi vile? Maana hii iliingizwa kwenye kitabu cha Guinness.

Mkuu ni kweli wakati MUHAS inaanzishwa tulipinga sana hasa hasa kwa kuzingatia management itakayoongoza MUHAS na reputation ya wanafunzi watakaotokana na MUHAS.hii ilikuwa ni haki yetu na kiukweli bado huwezi linganisha UDSM-MUCHS na MUHAS!

Uanzishwaji wa MUHAS ni muendelezo wa iliyokuwa FACULTY OF MEDICINE UDSM then MUCHS under UDSM, huu ni muendelezo uliokuwa na mpangilio kama ilivyokuwa SUA the then faculty of agriculture ya UDSM !

Kamwe huwezi linganisha uanzishwaji wa MUHAS/KCMC/CUHAS/SUA vs IMTU au UDOM!

IMTU na UDOM zimeanza kimagumashi au kisiasa au kibiashara zaidi na matokeo yake ni kama haya tunayoyaona au tusiyoyaona!

Tunachukulia uhuni unaoendelea marekani au India au Nigeria kuwa ni mfano yaani kila unayekutana naye ni graduate bila kutambua ukweli wa kwamba hawa nao wana taasisi bora walizozijenga na kamwe hazichakachuliwi au kubezwa au kulinganishwa na uyoga wa taasisi feki!

Ndio maana leo hii kina lukuvi na nchimbi na mrema wanajiita madokta wakiwa vifua mbele!

Hakuna usawa wa kiakili au kimauimbile katika dunia hii!ni lazima tuwe na wasomi,watendaji,waburudishaji,wababe,wehu,wategemezi n.k huu ni ukweli mchungu.

Tumefanya makosa kwenye sekta nyingi lakini makosa katika sekta ya afya ni hatari kwani yanagharimu maisha!

Naendelea kusisitiza kuwa leo hii tumeshuhudia bomu la IMTU lakini kesho tutashuhudia mabomu mengi,tukianzia na UDOM.

Leo hii almost kila chuo kinafundisha degree ya nursing ambayo ni changa sana hata kwa MUHAS !Tusije kulia baadae matokeo ya maamuzi haya!
 
99% ya mafisadi wametoka huko ni kweli lakini pia 99% ya wazalendo,wataalamu,mashujaa wametoka huko pia!!hiyo 99% ya mafisadi inaweza kuwa ni asilimia moja tu ya wahitimu ambao walikuwa makanjanja the rest walikuwa vipanga.
kwa hivi vyuo vyenu vya kata utaongelea 99% ya wahitimu watakuwa makanjanja!

Unajua hesabu? Ukishasema 99% ni mafisadi maana yake 1% ndio wazalendo sasa wewe unakuja kuwaponda waliosona udom kumbe na wewe ni walewale tu
 
Unajua hesabu? Ukishasema 99% ni mafisadi maana yake 1% ndio wazalendo sasa wewe unakuja kuwaponda waliosona udom kumbe na wewe ni walewale tu
tofautisha kati ya 99% ya wazalendo na 99% ya wahitimu...!nisome vizuri mkuu kabla ya kupost
 
Tafadhali sana naombeni connectionya IMTU, UDOM, cadaver, MUHAS kwenye huu uzi..mleta mada anamanisha nini hasa...na kwa kumheshimu kwamba ni daktari..a noble profession...nimesoma post zote and I am disturbed kwamba daktari mzima anyejiona kuwa na akili kuliko watanzania wa kada nyingine anaweza kuleta hoja muflis kama hii akijua changamoto na matatizo yote yaliyopo kwenye sekta ya afya na elimu nchi hii!
OLESAIDIMU.msaada wako blaza
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa wako akikueleza sikiliza!
Naijua MUCHS,KCMC,BUGANDO,KAIRUKI,IFAKARA,IMTU,UDOM,MBARARA,MAKERERE,NAIROBI!!

Lakini leo tunaongelea IMTU na UDOM!!

Iko siku tutaiongelea MUHAS VS MUCHS

Najua Toyota, Nissan, Isuzu, Scania, Yutong, Zhong Tong, Daf CF na XF, Ford, Rovers, Mercedes, Suzuki, International, GMC, Mack, Audi, Bentley, Buick, Chrysler etc!!!!!

Upo hapo???!!!!
Je mimi ni fundi??!!!
 
Tafadhali sana naombeni connectionya IMTU, UDOM, cadaver, MUHAS kwenye huu uzi..mleta mada anamanisha nini hasa...na kwa kumheshimu kwamba ni daktari..a noble profession...nimesoma post zote and I am disturbed kwamba daktari mzima anyejiona kuwa na akili kuliko watanzania wa kada nyingine anaweza kuleta hoja muflis kama hii akijua changamoto na matatizo yote yaliyopo kwenye sekta ya afya na elimu nchi hii!
OLESAIDIMU.msaada wako blaza

Kaizer mkuu, ndugu meningitis kaamua kwa dhati kabisa kufanya hili jambo!!!!!

Wahenga walisema nyani haoni kaliole!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom