white-frank mhiro
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 760
- 166
ila maadili ya UDSM na UDOM mabovuuu.....!!!
thread hii ni nzito maana michango ni mkubwa
toka kwa members
UDOM nafikiri sasa iitwe UDOOM a doomed varsity.
mnatoana povu bure, katika elmu hii; mnashindanaa kumeza tu! na kudharauliana pasipo sababu. mnapimwa kwa maswali ya kwenye makaratasi [afu mnakua mmeyarudia rudia weeee!] ndan ya masaa matatu, mkipatia ndo mmefaulu, ndo mmekua 'vipanga'. cc tunataka kuwatambua kwa kazi zenu, co vyuo vyenu. af mtihani co kipimo knachojitosheleza kupima 'ukilaza' au 'ukipanga' mtu!
Hao wa UDSM wanatusaidia nini? kuna wachumi kibao akiwemo na mkuu wa nchi
lakini wanaisaidia ni ni nchi yetu zaidi ya umasikini kuzidi siku hadi siku, hatutaki
Elimu ya kwenye makaratasi tunataka Elimu ya vitendo, mimi ni std 7 lakini siwaelewi
wasomi wetu.
Inaonekana huu jamaa mleta mada sijui ni daktari by professional, na kama ndio, basi inaonekana alisoma kwa shida sana,na anapoona watu wengine wanakuwa madaktari roho inamuuma vibaya.
Ha haha Mwambie huyoooooKuna madaktari wana roho za kichawi kweli. Huyu mtoa mada anataka wawe wachache ili wagonjwa waendelee kumsujudia. Pia ana akili mgando ya kutegemea mshahara wa serikali, wakiwa wengi mtaani serikali itatoa ajira nyingi na mshahara utakuwa haungezwi maana demand inakuwa ndogo. Badilika ndg yangu mtoa mada sìo kuwa daktari we ndo hata kujiongeza ktk miradi huwezi. Kwa staili hii wewe mtoa mada lazima utawachukia madogo japo haitasaidia maana ndo washakuwa madokta japo hupendi. Hata f4 anaweza soma na kufaulu udaktari bila shida tena wapo mpaka mabingwa wameanzia scratch. We endelea kukariri na Muhmbili yako,utaishia kuona vumbi tu . Badilika wewe dunia ya leo sio ya zama zako!