1. Those days may be, ndio maana nasema hii ni "conservatism" wakati watu wa account wanaanza kuachana na form six wanakatia diploma from form four kukimbia pata potea ya form six wewe bado unakomaa na medicine ni muhimu???!! Sifa ya kuitwa daktari wakati kila siku migomo ya posho na mzingira mabaya nani anataka nyakati hizi???!!! sio muhimu ni wachache sasa kama uchache ndio umuhimu sawa na ndio kiwewe sasa cha kuona wanakuwa wengi na kuanza kubaguana kwa vyuo wakati MAT ni moja!!!!! Walizoea kuonekana "high" sababu ya demand supply chain! !!!! Nini "noble" katika hiyo fani zaid ya mapokeo tu??????
2. Hiyo 75% ya Korea ukiivunja, udaktari unabaki na ngapi???!!!
3. Suala la mikopo ni stigma tu kwa sura nyingine, mtu anataka kuwa muhasibu na wazazi wake wanakatwa kodi huwezi mnyima mkopo halafu umpe Mbunge ambaye hata diploma hana, ubaguzi tu hamna jingine!!!! Kama hili unaona la maana sawa ila kwangu huu ni "
4. Nilikuambia na narudia dunia inabadilika mambo ya sifa za fani yanabadilika mwanao mwambie tu kuwa atachoamua lazima akifanye vizuri kwa hali ya juu kabisa sio kumlazimisha "noble" kwa mujibu wako!!!! Hao unaowaita "noble" wanaajiriwa na familia za watu successfull wanalipwa na kutumikishwa tu kama kawaida!!!!