qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
kufundisha binadamu sio sawa na kufundisha historia na unapochanganya haya mambo ndio matokeo yake ni haya tunayoyaona...isitoshe jamii yetu inachukulia poa tu kuhusu noble professions
Sasa kama ukienda muhas,kcmc,bugando,muce na Duce wengi pale ni Div 3 div 1 na 2 nadra sana haya ndio matokeo yake.. aliyefeli amfundishe mtoto wako au kijana wako. Mfumo wa elimu bongo mbovu.
Tangu lini failure awe mwalimu bora au daktari bingwa. Wizi mtupu