Sidhani!!!!!! Na sio kweli!!!!
Unapoongelea classes za madaktari kwa madaktari utakuwa na hoja ila kutaka kuweka classes kati ya taaluma mbili zinazojitegemea kuanzia theory mpaka practical utaonekana kituko!!!!
Yaani say huyo professor wa Sociology na masters holder wa medicine au paediatrics unawawekaje kundi moja???!!! Hata wa degree moja huyu anatibu huyu yupo field huko na data za project hiyo "noble" attitude inaingia wapi???!!!
MUHAS na UDOM unafananisha kwa lipi sasa, milestone ya chuo ni moja ya factor za kuweka classes yes lakini huwezi ku bank on milestone for stigmatization purposes as it is the case in here "barbaric and lack of civilization" a typical case!!!!!
"Class is inherent feature of any society, actually it is an engine for change" thus hata huyo Marx, K hakuchanganya wakulima na wamiliki wa viwanda, bourgeoisie na peti one hawakiwa class moja, workers na labourers hawakuwa class moja, nyie mnachanganya tu sababu you are "conservative" while the society itself is so dynamic!!!!!