analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 731
- 615
Niliwahi kuhudhuria kikao cha wazazi kwenye shule moja jijini Dar wanaposoma wanangu kiukweli I was so disappointed baada ya kusikia baadhi ya wazazi wakitamani watoto wao one day wasome udom.Yaani Mtoto umlipie ada 1.5m kwa mwaka shule ya msingi then university akasome Udom-si majanga hayo?
Mimi namuonea huruma mtoto wako kwa kuwa na mzazi mwenye ubongo mdogo namna hiyo. Bila shaka huyo mtoto hataweza kusoma chuo chochote as long as amerithi that small brain yako.