Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,673
- 4,171
Kwa jinsi nchi za ulimwengu unaoitwa wa kwanza zilivyokomaza shingo na kujitoa ufahamu kuhusu mgogoro wa Ulaya mashariki naona sio muda mrefu Dunia itaingia, kwa mara ya pili baada ya miaka mingi, katika matumizi ya silaha ya maangamizi za kiatomiki!
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!
Walisema wahenga:
"KAASEKASEKA KAALELALELA!"
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!
Walisema wahenga:
"KAASEKASEKA KAALELALELA!"