Bomoabomoa imenikuta

Bomoabomoa imenikuta

Pole mkuu,,mung
Wadau,

Kama kichwa cha habari kinavyojielezea bomoa bomoa imenikuta nyumba zetu mbili za familia zote kuvunjwa ni huzuni na vilio, kweli tunaisoma namba.
I
Pole mkuu,, mungu atawalipia juu ya dhuruma mnayofanyiwa,,
 
kuna sababu nyingi za watu kubomolewa mfano kama umejenga eneo la wazi! au eneo ambalo si la makazi....
Kuna eneo hatarishi
Kuna sehemu za wazi
Kuna pembezoni mwa mto
Pembezoni mwa bahari
Kuna ramani ya barabara za mtaani
Kuna umbali wa bomba kubwa la maji
Yani nyie acheni tu
 
Achana nae huyo sio wakubishana nae, huku watu wanahati zote na mbali na mto pia sio eneo hatarishi wameweka x sasa mtu anapotaka ligi bila sababu za msingi unaachana nae tu
Huna hati ntakataa mpaka kesho kama upo bondeni ila ipo sheria mita 60 atauwe na hati kafungie maandazi
 
We Jamaa utakuwa haupo sawa 100%,,ht Kama sisi tumejenga sehemu tunazosema ni halali,, bado haifai kuwaombea wenzio mabaya mkuu,, dunia ni Mapito tu kaka,,,na kwa serikali hii ,hata wewe au Mimi chochote kinaweza tukuta tofauti nakuvunjiwa mabanda yetu,,

Bondeni hakuna utetezi wewe bomoa tu
Jaj
 
We Jamaa utakuwa haupo sawa 100%,,ht Kama sisi tumejenga sehemu tunazosema ni halali,, bado haifai kuwaombea wenzio mabaya mkuu,, dunia ni Mapito tu kaka,,,na kwa serikali hii ,hata wewe au Mimi chochote kinaweza tukuta tofauti nakuvunjiwa mabanda yetu,,


Jaj
Ikinikuta kwa uzembe sintokuwa na wakumlaumu nitajilaumu mwenyewe tu..Usitake kuonekana mwema kwa kutetea uzembe
 
Pole kwa yaliyokukuta ni kweli bomoabomoa imeleta majanga mfano kna mama mmoja mtu mzima maarufu kama mama frank alikuwa anaishi chini Hananasif kabomolewa kibanda chake mama huyu alikuwa maarufu kwa kuuza ice cream kwenye Mechi za mpira wa ndondo! Kwa watu ambao walikuwa wanafatilia ndondo watamfahamu!
Huyo mama baada ya nyumba yake kubolewa alipoteza maisha alipata mshtuko.
My take!watu wanaishi ktk maeneo ambayo hayastahili kuishi wala kujenga nyumba ila serikali ingeangalia namna ya kuwapa tag watu hao...ni kweli kna watu walipewa viwanja mabwepande wakauzaga na wakarudi mabondeni tena ila kwann serikali iliyopita iliwaachia warudi mabondeni?serikali nayo ni tatizo
Inawezekana pia siyo kila aliyepo mabondeni alipewa kiwanja ....maana kna tetesi maafisa na mabosi wa manispa wamejipa viwanja wao baada ya waishio mabondeni
 
Wote tumekuliaa sehemu za kishenzi sehemu zenye ujenzi holela. ...
Ila ewe wewe unaye shabikia wenzako wa bomolewe tambuaa hakuna kitu muhimu kwa mwanadamu kama "shelter"

Hili li nchi lina ardhi kubwa serikali ingewatafutia wananchi eneo jipya na kuwahamisha huko kitaratibu.
Ikiwezekana wawajenge vijumba mfano wa police post,ktk kila kiwanja alafu wawape kila aliyebomolewa
 
Inasikitisha sana... Pole mkuu.... na hao vibaraka wanaotumwa nahsi asilimia kubwa ni wapangaji hapa mjini... hawajui uchungu wa nyumba... polisi nao kwasababu wanaishi kota ndo kabisa hawaelewi uchungu wa nyumba...

Tupeane moyo... shida zina mwisho pia...
 
Wote tumekuliaa sehemu za kishenzi sehemu zenye ujenzi holela. ...
Ila ewe wewe unaye shabikia wenzako wa bomolewe tambuaa hakuna kitu muhimu kwa mwanadamu kama "shelter"

Hili li nchi lina ardhi kubwa serikali ingewatafutia wananchi eneo jipya na kuwahamisha huko kitaratibu.
Ikiwezekana wawajenge vijumba mfano wa police post,ktk kila kiwanja alafu wawape kila aliyebomolewa

Chukulia kila kibanda basi milioni 2 hivi nzima nyumba ngapi zitalipwa
 
Zenu zinavunjwa lakini ya Rwakatale imeachwa..pagumu hapo
alafu mtoa mada wewe ni wastara? maana nimeona analalam fb
 
Back
Top Bottom