Kichuna wewe ni Wastara?Nyumba zitakavunjwa tabata ni nyingi sana, mwanzo walisema mita 60 kutoka usawa wa mto msimbazi lakini hawazingatii hilo
Nasikia wanataka kujenga gardenPoleni.....wamelipania hilo bonde msimbazi
Kanuni za sheria za nchi kama zipi?Pole sana watanzania baada ya Mr.dhaifu tulihitaji Raisi dikteta . Mungu akatupa magufuli.
Tujifunze kufuata kanuni na sheria za nchi.
Asante sanapole bwana
Asante mkuuPole mkuu.
Kama hujui kanuni na sheria za nchi basi hujui kwa nini mmevunjiwa nyumba yenu.Kanuni za sheria za nchi kama zipi?
HayaKama hujui kanuni na sheria za nchi basi hujui kwa nini mmevunjiwa nyumba yenu.
Wwe ndie yule la tangawizi au tofauti?Poleni. ..tunajifunza kutokaba na makosa
Zinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tuNyumba 10,000 huko tabata duuuh
pole, chaguo lenu wenyewe, wavimbe wapasuke, mtajijua wenyewe, ccm mbele kwa mbeleWadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea bomoa bomoa imenikuta nyumba zetu mbili za familia zote kuvunjwa ni huzuni na vilio, kweli tunaisoma namba.
Tunaisoma nambapole, chaguo lenu wenyewe, wavimbe wapasuke, mtajijua wenyewe, ccm mbele kwa mbele
Alafu nivipeleke wapi?Wahi kutoa bati milango na madirisha. Ikibidi tafuta mafundi ujenzi wachomoe tofali zako. Mbio za mahakamani sio suluhisho.
pole ndugu, ila kwa hili la bomoabomoa, watanzanioa wengi wa hali duni wameathirika kwa kiasi kikubwa, hawana pa kwenda na serikali ndo kwanza imefumba machoTunaisoma namba
Sio mchezo aisee. Ni nyingi sana. Jana nilipita kule mchikichini nyumba karibu zote zina X karibu na kiwanda cha biaZinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tu