Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 845
- Thread starter
- #41
Wamezirai kabisa bora wangefumba macho wangefumbua hata jicho moja wakaona shida tunayopatapole ndugu, ila kwa hili la bomoabomoa, watanzanioa wengi wa hali duni wameathirika kwa kiasi kikubwa, hawana pa kwenda na serikali ndo kwanza imefumba macho