prezdesho
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 150
- 79
Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyoHaloo we acha tu ila namba tunaisoma wote
Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyoHaloo we acha tu ila namba tunaisoma wote
Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995Inawezekana uko umbali wa mita 60 kutoka kwenye mto lakini ni bondeni mafuriko yanafika. pole sana mkuu
Wametangaza wenyewe wanataka kujenga garden nasikiaKweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo
Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
Pole sana Mkuu, Sijui wanatumia kigezo gani sasa?Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
Wote hatujuiPole sana Mkuu, Sijui wanatumia kigezo gani sasa?
Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
Vip waliweka X? kabla hawajabomoa?Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo
Au kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sanaNasikia wanataka kujenga garden
UmekaririshwaKujenga bila kufuata taratibu za mipango miji
Tatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyaoAu kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sana
Achana nae huyo sio wakubishana nae, huku watu wanahati zote na mbali na mto pia sio eneo hatarishi wameweka x sasa mtu anapotaka ligi bila sababu za msingi unaachana nae tuUmekaririshwa
Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subraTatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyao
miss strong happy new year!Poleni.....wamelipania hilo bonde msimbazi
pia kuna walio vamia eneo la reli..Zinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tu
Nisomee wewe kwa sautina bado hujaisoma vizuri.
Hawajabomoa bado jana ndio wameweka XVip waliweka X? kabla hawajabomoa?
Hao ndio wakipoteza tu simu wanachanganyikiwa, je nyumba?Poleni sana...
Hii kitu isikie kwa mwenzio tu
Ambaye hajawahi kujenga ndio atashabikia
Tuseme inshallah...Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subra