Bomoa bomoa Moro Road watu wanazimia

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,072
18,258
Hili jambo media hazisemi Ila limeacha majonzi na vilio.

Nimepita nyumba moja nzuri na kubwa ambayo IPO zinapoishia m 121.5 , yaani nyumba hii ndio IPO ukingoni, mwenye nyymba ni mama mjane, na kabla ya tangazo aliikarabati vizuri sana.

imepigwa X, wenyeji wanasema huyu mama alizimia mpaka sana ni kama mgonjwa.

Kuna Mama mwingine kibamba aliuuza maeneo yake yote akabaki na kiwanja karibu na Barabara, nyumba zote zimepigwa X naye hajitambui.


Siku ya bomoa bomoa kutahitajika ambulance za kutosha au watu wahame kabla ya bokoa bomoa maana sijui wangapi watakua radhi kuona najumba yao yakibomolewa kwa sheria ya mwaka 1932.

Kibaya zaidi hata hiyo kesi iliyopelekwa mahakamani na zuio lake sijui kama INA mashiko ..


Kupatwa kwa Watanzania kwa manufaa ya watanzania.
 
Naombeni ufafanuz,zile nyumba zinabomolewa kwa umbali wa mita ngapi?Maana naona X imefika ndanindani kabisa tofaut na zile X za kawaida tulizozizowea?
 
Naombeni ufafanuz,zile nyumba zinabomolewa kwa umbali wa mita ngapi?Maana naona X imefika ndanindani kabisa tofaut na zile X za kawaida tulizozizowea?

120m kutoka katikati ya Barabara, kwa hiyo barabara na reserve yale itakuwa na 240m
 
Bora Serikali ingewalipa kwanza maana kwa Maisha ya sasa hakuna kitu Muhimu Kuliko Nyumba sasa Ukivunjiwa Nyumba ambayo ndio iliyokuwa Inakupatia vijiela vya kupata Ugali itakuwa hatari hata zile Pressure zilizokuwa zmetulia sasa zitapanda
 
Acheni miundo mbinu na Barabara vijengwe kwa gharama yoyote ile. Hatay lijapo suala la ulinzi wa taifa au vita, kuna wote hupoteza viungo au maisha hats katika hili acha iwe hivyo. Tumechoka kuwa watalii wa miundo mbinu na mipango miji kwenye nchi za watu .
 
Hayo ndiyo mabadiliko
Kila mtu ataisoma kwa namna yake.
Ila serekari inahusika kwa huo uzembe kwani kama kweli hayo maeneo yalitengwa serekari ilikuwa wapi kusimamia sheria?
Ok wote tuvumilie haya mabadiliko yaliyosababishwa na serekari
 
Kubomoa nyumba zilizojengwa kwenye road reserve sio vibaya ila kunapaswa kuwe na busara.
Kwanini kusiwe na countdown period? Kama ni miezi mitatu, kila siku/week wahusika waambiwe bado siku/wiki kadhaa mpaka ikibaki week moja kuwe na taarifa za daily za gari la matangazo kuwa tarehe fulani tutabomoa usipobomoa ili watu wajiandae.

Sioni kama kuna busara kuwavamia na kuanza kubomoa alfajiri hivi.

Busara itumike kwa kuwa nyumba hizo zilijengwa serikali ikiona na sio ajabu hata wao serikali ndio waliopitisha baadhi ya hati za ujenzi/michoro.

Serikali iwe na huruma na watu wake.
 
Jana nimesoma sehemu kuwa lile Jengo la Tanesco pale Ubungo linalotegemewa nalo kupigwa Nyundo si Mali ya Tanesco Mwenye kujua zaid anijuze
 
Hehehe mpaka jamaa atoke madarakani yaani nchi itabak na wagonjwa wa akili presha na magonjwa yasiyo julikana

magufuli chochea lori lifike mapema
 
WAKUU HIVI MNAFKIRI SERIKALI INAKURUPUKA AU
HUSUSA WIZARA YA MIUNDOMBINU,,,
Hakuna Action ikafanyika bila taarifa kutoka kwa president kutoa saini
SASA HAPO WIZARA HIO MAGU MIAKA25
Doohh hao wacha kuzimia hata walale kabxaaaa
Mbona walivopokea FIDIA HAWAKUZIMIA au walijua ni bado utawala wa mkwere mpoooooole eeenhhh
 
Kubomoa nyumba zilizojengwa kwenye road reserve sio vibaya ila kunapaswa kuwe na busara.
Kwanini kusiwe na countdown period? Kama ni miezi mitatu, kila siku/week wahusika waambiwe bado siku/wiki kadhaa mpaka ikibaki week moja kuwe na taarifa za daily za gari la matangazo kuwa tarehe fulani tutabomoa usipobomoa ili watu wajiandae.

Sioni kama kuna busara kuwavamia na kuanza kubomoa alfajiri hivi.

Busara itumike kwa kuwa nyumba hizo zilijengwa serikali ikiona na sio ajabu hata wao serikali ndio waliopitisha baadhi ya hati za ujenzi/michoro.

Serikali iwe na huruma na watu wake.

Taarifa wanapewa UNAFATWA UNAAMBIWA
PILI UNATUMIWA BARUA NA KUOMBWA SAAANA
tatu KAMA HILO ENEO BARABARA LIMEKUKUTA FIDIA LAZMA ULIPWE
Sasa mkuu unaposema ati serkali haina huruma unataka huruma ipi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom