Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Ok! Kama ni ya more than two lanes!! Mi nilifikiri Ni kama hii ya huku kwetu Lemara
Kaka ngoja niwekw masahihisho, upana wa barabara hiyo sio 120m bali ni 121.5m kutoka katikati ya barabara kwenda kulia kisha kushoto, hivyo barbara na reserve yake itakuwa na upana wa 243m
Waraka wa kuvunjiwa ndo huo