mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Usikurupuke hakuna aliyelipwa fidia kuna wengine barabara imewakuta mfano pale makondeko barabara ya zamani imepita nyuma kama unaenda kwembe hii barabara ya juzi imenyoisha na imewakuta watu wanamiji yao ila wamewekewa X na watabomolewa bila fidiaHAKUNA SHERIA YA KUVUNJA BILA YA KUWEKEWA BIKON KABLA YA
KITAFATA KUPIGWA "x"
Baada ya hapo ndio ACTION INAANZA
MKUU FATILIA HILO SWALA HURNDA WENZIO WALISHAVUTA FIDIA KIMYAAA KIMYAAA
Bomoa bomoa ya Moro road haswa maeneo ya kibamba ni ya uonevu ubabe na kulipa visasi
Kibaha km chache toka kibamba road reserved ni mita 30 toka katikati ya barabara ila kibamba ni mita 121.5 utashangaa sijui ni barabara gani yenye mahipsi