Nenda kamvishe nguo mzee wenu
Watu wenye upeo mdogo kama wewe humuelewi kuwa financing ya mradi na potential funders itakuwa 2019 if all goes well. Kinachofanyika ni Maandalizi tu. Sawa na Stieglers Gorge mkopo wenyewe bado!Huu ni uongo uliopitiliza kabisa.Huoni aibu kuzusha uongo mkubwa kiasi hiki.unapata nini? mimi nafanya kazi kwenye moja ya wilaya ambapo bomba linapita.Kwa faida yako na wengine wengi uliowapotosha ni kwamba ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea tena kwa kasi kubwa sana.Kampuni kadhaa zimeshafanya kazi mbalimbali na magari yamezagaa kila kona yakiwa na nembo za kampuni.hadi miundombinu ya barabara kutoka barabara kuu kuelekea kwenye bomba yote imeshaanza kufanyiwa kazi. guest housesnyingi zimejaa kwa ajili ya wafanyakazi wa huo mradi..na wana kambi zao pia wanakaa huku ujenzi wa kambi yao rasmi eneo la mradi ukiendelea.Kwa harakaharaka yale magari yao ya wafanyakazi hapa wilayani hayapungui ishirini.
wewe jiandae tu kushuhudia uzinduzi wa bomba la mafuta hapa Tanzania
Pole sana.Mwenye upeo mdogo ni wewe unayeweza kutunga jambo ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la kwanza anakugundua .muongo.nimekwambia work on progress wewe unasema financing 2019! Kumeshafanyika mambo mengi sana hadi muda huukwa mfano hii wilaya kuna wataalamu zaidi ya mia moja wa fani mbalimbali wapo site.na kizuri zaidi vibarua wanaotumika ni wengi sana na wote ni wenyeji wakaazi wa hapahapa.Watu wenye upeo mdogo kama wewe humuelewi kuwa financing ya mradi na potential funders itakuwa 2019 if all goes well. Kinachofanyika ni Maandalizi tu. Sawa na Stieglers Gorge mkopo wenyewe bado!
Jiongeze bhana. Mdogo wanguUmeandika kama vile unawasha kikoroboi cha manzese!
Vyovyote vile mkuu. Kazi ni kazi tu ili mradi anaefanya karidhika kuwa inamlipa. BTW yeye ni engineer by professional mengine utajaza mwenyewe.Mdogo wako ndio wale wanaochimba mifereji?
Halaf kijana acha ubishoo mahandsome wanaolewa siku hizi. Kuwa na sura ya kazi acha umama. Ndio nyie mnaotudharaulisha wanaume wa DarMdogo wako ndio wale wanaochimba mifereji?
You can have all those but if your hub 'the leadership' is made up of mud, nothing can sustain. We have very narrow minds in the strategies making.unless you are a damb. kupitisha bomba TANZANIA is not a choice, but a it's chance. TZ has a natural pull factors for the pipeline to pass through her territory. the risk, the cost, the already present port, free from monsoon winds to name a few, give Tanzania an upper hand for the project.
Blasphemy!Mtajichekesha na kucheka wenyewe.# Magufuli for Life
Monsoon winds? Seriously?
That was an example of a subscription source. There are much more out there. In a few days, this will come out in the mainstream media.
Cc:Magonjwa MtambukaKuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.
Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.
Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
compounded by ...You can have all those but if your hub 'the leadership' is made up of mud, nothing can sustain. We have very narrow minds in the strategies making.
#hapakazinabata
#2020twendenamembe
Kaguta Namba mbaya sana.
#KaziNaBata 2020
Kweli kabisa